Hivi karibuni imepitishwa nchini Burundi kwa rais wa sasa Pierre Nkurunziza kuweza kugombea kipindi cha tatu cha urais nchini humo badala ya vipindi viwili kama ilivyokuwa imeainishwa kwenye katiba yao ya sasa. Ni nini faida na hasara kwa nchi hiyo kwa uamuzi huo????
Kama ilivyotangazwa leo 27.3.2014, aliyekuwa Askofu wa Diocese of Central Tanganyika(DCT) wa Kanisa la Anglikana Tanzania amefariki dunia akiwa kwenye matibabu nchini Afrika ya Kusini. Ni wakati muafaka kujadili mazuri na mabaya yake kwa dayosisi yake aliyokuwa anaongoza na kwa Kanisa la...
Naombeni kupata orodha ya waandishi wanaotoa makala zao kwenye magazeti nchini Tanzania kwa kutumia lugha ya mafumbo kama afanyavyo Kicheere Mwita Nyaronyo.
Kimsingi makala ya Nyaronyo Mwita Kicheere yenye kichwa cha habari " Nimehamia CCM, CHADEMA hakunifai" ambayo ameitoa kwenye gazeti la ----- la leo 20/2/2014 ni makala ya kuwananga viongozi wa CCM na serikali yake. Mifano yote aliyotoa ni kwa lengo la kuonesha kimafumbo namna ambavyo viongozi wa...
Naombeni mantiki ya Tanzania kuji-komba komba kwa Kagame inapotokea Rwanda wameandika news mbaya kuhusu Tanzania.Kwa mfano nasikia Tanzania imemtuma Mh. Mwandosya kwenda Rwanda kwa mazungumzo na serikali ya Rwanda kutokana na story iliyoandikwa na gazeti moja la Rwanda ya kuwa Rais Kikwete...
Kuna haja ya kuwepo na chombo kinachosimamia(regulate) bei za kuzoa maji taka hapa nchini Tanzania kwa wamiliki wa magari ya maji taka ya watu binafsi . Kwa sasa hali ilivyo mfano jijini DSM kila mmiliki anaamua bei anayotaka katika kutoa huduma hii. Naomba mjadala wa kujenga juu ya suala hili.
Kutokana na mwenendo wa Zitto ulivyo kwa sasa inaonekana hana busara hata ya kawaida. Huwezi kutoa utetezi na kabla ya utetezi kusikilizwa na chombo husika anaanza mikutano ya hadhara ya kutoa shutuma dhidi ya chombo alichotoa utetezi.
Kusema kweli shamba halina mto karibu, isipokuwa karibu yake kuna bonde ambalo hutunza maji ya mvua ambayo baadaye wakati wa kiangazi maji hayo hukauka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.