Recent content by rusesa

  1. rusesa

    LIVE: kubwa kuliko ya Dar Yanga African

    Mpenzi na mshabiki wa YANGA tutakuletea moja kwa moja kinachojiri KWENYE KUBWA KULIKO LEO. LEO NI KUVUNA HELA! BODA BODA FC TUKUTANE MSIMU UJAO! Tuwe pamoja....
  2. rusesa

    Mbowe: Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walipiga kura na kuzijaza kwenye maboksi. Hatutashiriki uchaguzi utakaoitishwa na NEC

    HATA HIVO CHADEMA WALICHELEWA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI, HIZI NI NYAKATI ZA JIWE
  3. rusesa

    Mbowe: Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi walipiga kura na kuzijaza kwenye maboksi. Hatutashiriki uchaguzi utakaoitishwa na NEC

    CHADEMA HATA HIVO MLICHELEWA KUSOMA ALAMA ZA NYAKATI!, HIZI NI ZAMA ZA KICHAA AU JIWE!
  4. rusesa

    USHAURI: Ng'ombe wangu anajinyonya maziwa

    Naomba ushauri ng'ombe wangu anajinyonya maziwa nikichelewa kumkamua na kuta maziwa yote yameisha nifanyeje asijinyonye? msaada please!
  5. rusesa

    AZAM TV mnaamanisha nini kutulazimisha kuangalia taarifa ya habari via Azam App?

    Biashara ya kweli imekuwa balaa! Sasa hivi ukitaka kuona habari ya azam SAA mbili inabidi ulipie kinga'mzichako na bado utoe hela ya ziada kwenye app yao! Hivi hawaoni uchumi wa watu sasa hivi? Hivi tcra wapo wapi? Jamani azam TV wamepatwa na nini?
  6. rusesa

    Duka la Dawa Muhimu za Binadamu (Pharmacy): Utaratibu wa Kufuata na Mtaji wa Kuanzisha Biashara

    Mimi namtaji wa shilingi milioni 2 nataka nifunfue duka la dawa baridi: Ila stalipia fremu maana banda ni langu! Ushauri juu ya changamoto inayoweza kunikuta! Karibuni
  7. rusesa

    Ushauri: Biashara ya duka la pembejeo za kilimo

    Hii biahara ikoje? Changamoto? Faida zake? Karibuni!
  8. rusesa

    Chonde chonde Simba, shindeni mechi ya leo tuchukue ubingwa

    Simba hawezi kushinda hiyo mechi katu! Kama Simba akishinda ntatembea uchi kutoka Moro uwanjani baada ya mechi hadi dar. Trust me!
  9. rusesa

    komesha ya wawangaji.

    Naomba tujulishane namna ya kudhibiti wawangaji, maana wanasumbua kweli kweli. Karibuni.
Back
Top Bottom