Sawa Mkuu! mbona huleti moja kwa moja kinachojiri huko wakati mambo nasikia yameshaanza kuwa fire!Mpenzi na mshabiki wa YANGA tutakuletea moja kwa moja kinachojiri KWENYE KUBWA KULIKO LEO. LEO NI KUVUNA HELA! BODA BODA FC TUKUTANE MSIMU UJAO! Tuwe pamoja....
Mpenzi na mshabiki wa YANGA tutakuletea moja kwa moja kinachojiri KWENYE KUBWA KULIKO LEO. LEO NI KUVUNA HELA! BODA BODA FC TUKUTANE MSIMU UJAO! Tuwe pamoja....
Ni afadhali hawa wanayajua yajayo kuliko wale watakaosajiliwa kwa hela nyingi halafu Mzee Kilomoni akikataa kuwapa Hati, mwekezaji wenu akajitoa katika huo ushirika. Kitakuwa kilio cha kusaga na meno kuanzia Wachezaji, Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa timu hiyo.Hawa wachezaji mnaosajiri wanajua kama malipo yao yatategemea michango?
Hao wachezaji mnaosajiliwa na Mo wanajua kuwa hati anayo Kilomoni?Hawa wachezaji wanaosajiriwa wanajua kama malipo yao yatategemea michango?
Kilomoni atawalipaHawa wachezaji mnaosajiri wanajua kama malipo yao yatategemea michango?
Hawa wachezaji mnaosajiri wanajua kama malipo yao yatategemea michango?
Ni afadhali hawa wanayajua yajayo kuliko wale watakaosajiliwa kwa hela nyingi halafu Mzee Kilomoni akikataa kuwapa Hati, mwekezaji wenu akajitoa katika huo ushirika. Kitakuwa kilio cha kusaga na meno kuanzia Wachezaji, Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa timu hiyo.
dah! nmecheka sana yanWatageuka ng'ombe kila mahali itakua vilio vya Mo Mo Mo Kama kipindi alivyotekwa
Na sisi tutatembeza bakuli kama nyie, tutawaiga hakuna shidaNi afadhali hawa wanayajua yajayo kuliko wale watakaosajiliwa kwa hela nyingi halafu Mzee Kilomoni akikataa kuwapa Hati, mwekezaji wenu akajitoa katika huo ushirika. Kitakuwa kilio cha kusaga na meno kuanzia Wachezaji, Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa timu hiyo.
Mficha uchi hazai ndiugu yangu! na usipende kufa na tai shingoni!Hivi ni vichekesho kwa nchi iliyofuzu afcon kusikia timu inaendesha maisha yake kwa harambee
Bakuli kubwa kuliko mabakuli yoteTulia dawa iingie,Msalimie Bi Hindu hapo