3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,882
Habari wadau!!
Hakuna asiyejua kuwa Klabu ya Simba inahitaji ubingwa kwa nguvu zote na ili kufanikisha hili ni lazima Simba wampige Mtibwa sugar ugenini Leo ili kutengeneza njia …Tunajua ni mechi ngumu lakini bila ushindi ni kazi sana Kuwa bingwa.
Mechi ya Mbeya city, Tz Prison, Lipuli, Yanga, na Mtibwa yaani Leo ni mechi za Ubingwa kabla hatujamfikiria Singida utd Hawa ndio watakao Tuzuia .
Tuanze Leo
Hakuna asiyejua kuwa Klabu ya Simba inahitaji ubingwa kwa nguvu zote na ili kufanikisha hili ni lazima Simba wampige Mtibwa sugar ugenini Leo ili kutengeneza njia …Tunajua ni mechi ngumu lakini bila ushindi ni kazi sana Kuwa bingwa.
Mechi ya Mbeya city, Tz Prison, Lipuli, Yanga, na Mtibwa yaani Leo ni mechi za Ubingwa kabla hatujamfikiria Singida utd Hawa ndio watakao Tuzuia .
Tuanze Leo