Recent content by Rungu

  1. Rungu

    Rais Magufuli ni Dikteta anayetoa Ruzuku kwa vyama vya siasa!

    Dikteta anayefuata katiba? Duh, hii mpya.
  2. Rungu

    Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

    Kijana tulia. Wakati upo Tambaza wengine tayari tulishakuwa baba watoto.
  3. Rungu

    Buriani Ali Abdul Mufuruki, Mhandisi mwenye mapito mengi kwenye Biashara

    Unapoteza muda wako bure na huyo "mjuaji".
  4. Rungu

    Kujirudi kwa CHADEMA kwashangaza! Wengi wahoji huenda ni mbinu za Mbowe kuzima makombora ya Sumaye?

    Nadhani wamejishtukia baada ya kuona siasa za kususa susa zimefeli vibaya. Hawana namna.
  5. Rungu

    Mwalimu Nyerere vs Thabita Siwale

    Umepatia; kwa sisi tuliokuwa vijana na mashuhuda enzi hizo. Makongoro (Mako) ndiye aliyekuwa anasoma Tabora Boys wakati huo na hahusiani kabisa na tukio (la John pale Mazengo). Ingawa Makongoro naye alikuwa mtukutu fulani hivi pale Tabora Boys (ndie aliyekuwa drummer wa bendi ya muziki pale...
  6. Rungu

    Rais wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 2 Tanzania

    Endelea. Kiingereza anachoongea Magufuli kinamtosha.
  7. Rungu

    Rais wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 2 Tanzania

    Endelea kuona Kiingereza ndio tiketi ya kuingia mbinguni. Siwezi kukusaidia kwa hilo.
  8. Rungu

    Rais wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 2 Tanzania

    Inasikitisha. Huyo unayesema "hawezi" kuongea Kiingereza ni rais wa nchi na amekuwa waziri kwa takriban miongo miwili. Wewe "unayeweza" kuongea hicho Kiingereza umefanya nini cha kumshinda? Hebu tuache kuwa na akili za kitumwa kidogo. Chuki zako binafsi kwa Magufuli hazitakusaidia sana.
Back
Top Bottom