Umepatia; kwa sisi tuliokuwa vijana na mashuhuda enzi hizo. Makongoro (Mako) ndiye aliyekuwa anasoma Tabora Boys wakati huo na hahusiani kabisa na tukio (la John pale Mazengo). Ingawa Makongoro naye alikuwa mtukutu fulani hivi pale Tabora Boys (ndie aliyekuwa drummer wa bendi ya muziki pale...
Inasikitisha. Huyo unayesema "hawezi" kuongea Kiingereza ni rais wa nchi na amekuwa waziri kwa takriban miongo miwili. Wewe "unayeweza" kuongea hicho Kiingereza umefanya nini cha kumshinda? Hebu tuache kuwa na akili za kitumwa kidogo. Chuki zako binafsi kwa Magufuli hazitakusaidia sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.