Recent content by Rumishaeli

  1. Rumishaeli

    Boeing ya pili ya Tanzania ‘Rubondo Island-Hapa Kazi Tu’ yafanyiwa majaribio

    Hivi ile dreamliner ya kwanza iko wapi na safari zake ni za wapi? Nauliza tu.
  2. Rumishaeli

    Habari ya UCHUNGUZI: Wajue vigogo walioshiriki kufanikisha dili la 'e-Passport'

    Tusubiri kitu kinapigiwa chumbani kwako kimya kimya,Nafikiri Magu hana utaalamu wa tehama ndio maana wameweka hii paragrafu "Mtalaam huyo wa masuala ya mifumo ya kompyuta, ameliambia JAMHURI, ni rahisi zaidi kwa mtu asiyekuwa na ufahamu wa masuala la Tehama kudanganywa katika mambo ‘technical’...
  3. Rumishaeli

    TRA: Tumekusanya jumla ya Shilingi Trilioni 3.65 kuanzia Julai hadi Septemba 2017(Robo ya kwanza mwaka wa fedha 2017/18)

    Budget nzima ni 32Trillion kwa mwaka wa fedha 2017/2018. Hii ina maanisha tunatakiwa kukusanya 8 trillion kwa quota moja sasa TRA wamekusanya 3.65 ambayo iko chini kwa 4.35 Trillion kwa qouta ya kwanza, in maana kwa quota ya kwanza tumetegemea wafadhili au vyanzo vingine kwa 54.38%. Na kama...
  4. Rumishaeli

    MAAJABU: Madiwani waliojiuzulu CHADEMA wanaomba kurudi

    CCM wameon jamaa kabana sasa wanatumia zilizopo kidogo kuhonga na kutolipa hongo yenyewe ili jamaa aachie hela ya uchaguzi maisha yao yaendelee maana zikiachiwa 250m kwa uchaguzi wa diwani hapo ni 80m ndio itatumika nyingine kwenye matumbo yao.
  5. Rumishaeli

    Wanasheria: Kama mkojo wa Manji unatusumbua kwenye mikataba itakuwaje?!!

    Itabidi na hao mawakili waliobebea sheria duniani wapimwe mkojo ili waendane na mazingira ya kitanzania
  6. Rumishaeli

    Banki ya Dunia yatuanika: Tanzania tuna upungufu wa nguvukazi yenye elimu ya kuendesha uchumi

    Hapa nachoona ni kwamba hela za kukuza skilled labour zilikua zinatolewa na wahisani na kiasi fulani serikali ilikua inachangia, sasa kilichotufikisha hapa ni wapigaji ambao serikali ya CCM imekua ikiwachagua kila kipindi, ili waendeleze kupiga, na kuchaguana kama vile kwenye chama cha CCM...
  7. Rumishaeli

    Mhe. Rais Magufuli, ACACIA 'Wanaua' Wafanyakazi kwa hasira za Makinikia

    G4S ni makaburu sasa naona wamewaondoa wafanyakazi ambao labda wanaona jinsi dhahabu invyopakiwa kwenye denge zao ili G4S iwasaidie kutorosha madini yetu.
  8. Rumishaeli

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    Wai hili linchi la ajabu sana. Kama mkuu wa mkoa ni cheo cha kisiasa basi asisimamie maendeleo ambayo kwa wakati mwingine yanafanywa na watu wenye elimu zao. Hao ni kutuambia mtu wa darasa la saba amsimamie Engineer wa mkoa sababu tu anajua kusoma. Natamani hata kutukana.
  9. Rumishaeli

    KIBITI: Watu watatu wameuawa akiwemo Afisa wa Upelelezi (OCCID)

    Duuuh Peter Kubezya maskini. Tumesoma nae IAA na tuliishi nae Dar. Mungu akipanga hakuna wa kupangua. R.I.P
  10. Rumishaeli

    Zitto: Angalieni hali ya Wanafunzi, jirani yao Chato inajengwa Airport ya zaidi ya Tshs Bilioni 50

    Naomba kuuliza hizo 50bln zilikua kwenye bajeti iliyopitishwa na bunge?
  11. Rumishaeli

    Ni Kweli Kagame Anaumwa "Bipolar Disorder"?

    Meaning of Bipolar disorder: a mental disorder marked by alternating periods of elation and depression. Signs of chronic mental illnesses such as bipolar disorder or schizophrenia may first show up in childhood. Pia huwatokea watu waliokwisha kuua maana kuna kipindi unakua kama mwehu sababu ya...
  12. Rumishaeli

    Obama kama Raisi mstaafu Kikwete?

    Hapo inaonyesha IQ ya obama ni very low na anafanya maamuzi ya kitoto. Kwa mfano swala la urusi Putini amemwambia atoe ushahidi ulio wa wazi na usio na shaka, ameshindwa sasa anafanya kukomoa. Urusi nayo ikijibu ndio mwanzo wa vita baridi. Jingine ni hili la Israeli maamuzi ambayo alitakiwa...
  13. Rumishaeli

    Sheikh Khalifa ammwagia data zaidi Rais Magufuli za wasomi waislamu

    Hili gazeti nalo lifungiwe tu ni la kichochezi sijui nape halioni?
  14. Rumishaeli

    Wale waliosoma Lomwe sec/high school

    hivi head master wa kiriki sec alikua anaitwa nani 1992 hadi 1996
Back
Top Bottom