Ni Kweli Kagame Anaumwa "Bipolar Disorder"?

Ni Kweli Kagame Anaumwa "Bipolar Disorder"?

Ila huyu jamaa ni mgonjwa, nimeangalia clip alivyokua anamtishia JK nimebaki naduwaa. nimeangalia clip nyingine anawatishia wanyarwanda utadhani anatiahia pepo wachafu...


Haki nyie, eti kama anatishia mapepo, as if mapepo yanatishika. 😀
 
Mkuu, Lincoln na Churchill kweli hata sura zao zilikuwa zinaonyesha vile, kwa wengine sina uhakika - mbona watu genius kama Nikolai Tesla, Edison, Albert Einstein na Josef Stalin hawakuwa na tatizi hilo.
Kweli kabisa si kila tafiti lzm zi apply kwa kila mtu ila kama utaweza ebu Fanya simple survey kwa watu wenye akili sana na genius maprofesa utaona tabia zao km zina elements ya psychiatric disorder fulani they don't trust anyone they always isolated na hawakubali kushindwa ,soma history ya Galileo Galilei yeye alikuwa anatembea na Taa mchana
 
Ukiua lazima uwe chizi.. miaka ijayo usishangae wakawa wanatangaza kabisa listi ya watu watakao kufa kesho...
 
Kweli kabisa si kila tafiti lzm zi apply kwa kila mtu ila kama utaweza ebu Fanya simple survey kwa watu wenye akili sana na genius maprofesa utaona tabia zao km zina elements ya psychiatric disorder fulani they don't trust anyone they always isolated na hawakubali kushindwa ,soma history ya Galileo Galilei yeye alikuwa anatembea na Taa mchana

Aaah! Umenikumbusha Archimedes aliye toka nduki kwenye bathtab akakimbilia kwenye barabara za mji wa Syracuse akiwa uchi, yelling "
EUREKA, EUREKA" ni kweli watu kama hao ka element ka u lunacy hakokesaki kabisa, we sema viwango vya uchizi vinatofautiana.
 
Meaning of Bipolar disorder:
a mental disorder marked by alternating periods of elation and depression.
Signs of chronic mental illnesses such as bipolar disorder or schizophrenia may first show up in childhood.
Pia huwatokea watu waliokwisha kuua maana kuna kipindi unakua kama mwehu sababu ya damu.
 
Meaning of Bipolar disorder:
a mental disorder marked by alternating periods of elation and depression.
Signs of chronic mental illnesses such as bipolar disorder or schizophrenia may first show up in childhood.
Pia huwatokea watu waliokwisha kuua maana kuna kipindi unakua kama mwehu sababu ya damu.
Kivipi mkuu unakua mwehu?
 
Habari za kuchafuana from interahamwe na wapuuzi wenzao, habari kama hizi hazina tofauti na ile hutu hate Radio-Télévision Libre des Milles Collines, kajengeni nchi vita mlishashindwa zamani sana
 
Wanakuja sasa! Hapa kila mtu ataitwa 'intreahahamwe. Wanyarwanda bhana. Inaonekana hawa jamaa wanaogopwae! Can I know little about them?
 
Meaning of Bipolar disorder:
a mental disorder marked by alternating periods of elation and depression.
Signs of chronic mental illnesses such as bipolar disorder or schizophrenia may first show up in childhood.
Pia huwatokea watu waliokwisha kuua maana kuna kipindi unakua kama mwehu sababu ya damu.
Obama angekua ameshakua mwehu syria,iraq,jordan,libya kote huko ameaua mamilioni lkn anadunda tu.Au tufanye Putin Georgia,Chechyia,Ukraine ameua sana tu
 
Ni mvutaji mzuri sana wa bangi, inasemekana alijifunza alipokuwa msituni kipindi kileee. Hata u-Skeleton wake unatokana na mimoshi ya bangi na pombe Kali. Upo uwezekano kwamba ameathilika mapafu na kisaikolojia. Ndio maana yupo mwehumwehu vile. Angekuwa na nuclear tungeisha zamaaani. HAKUNA MTU PALEE, LISHAKUWA KAMA VAMPIRE.
ha ha ha we mtu unakula ganja
 
Back
Top Bottom