Recent content by Rumi96

  1. Rumi96

    GE2025 VODACOM: Kama hutaki tukutumie Meseji za Uchaguzi 2025, Kalalamike TCRA

    Ndiyo maana nakopaga Songesha kisha na block.
  2. Rumi96

    Tetesi: Bilionea Chief Godlove kuchangia Bilioni 50 kampeni za CCM

    Unajua wewe, CCM na huyo Bilionea uchwara, mnatuona kama sisi ni Matako yenu?
  3. Rumi96

    GE2025 Kutoka kwa mjumbe: Baba Levo kamwaga pesa sio chini ya Bilion moja na nusu

    Unajua wewe na mjumbe mnatuona kama sisi ni matako yenu!
  4. Rumi96

    Pamoja na pesa na umaarufu,sura ya Harmonize imegoma kukaa kisupastaa

    Na hawa ndiyo wazee wa 2045. Kazi kweli kweli.
  5. Rumi96

    Car4Sale Gari Toyota Surf Inauzwa

    Hapa napo patazamwe!
  6. Rumi96

    Matokeo ya push up 200 kwa siku ndani ya mwezi mmoja

    Arooo! Karibu sana JF Kuna siku utaikimbia hii ID
  7. Rumi96

    Legend wa hiphop Jos Mtambo wa tongwe record rafiki wa Roma aomba msaada hali yake inasikitisha

    Usanii ni kama furushi la misumari. Pole Jose.
  8. Rumi96

    Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

    Endelea kuogopa, watakuharibia uvulana wako. Ila jua sisi tuna enjoy. Japo hatuwezi kucheka tukiwa tunamwaga.
  9. Rumi96

    Mheshimiwa Steve Nyenyere ajitosa Sakata la Nicole Van Berry

    Hii nchi bwana. Eti Steve ni Mheshimiwa, labda anaheshimiwa na Bongo movie wenzake!
  10. Rumi96

    Huyu mke wa mtu analika au haliki?

    Naona una na "Vingereza uchwara", " something concrete" ukidhani ni swaga kwamba utamteka zaidi. Kuwa makini, hamna la maana utapata zaidi ya majuto.
  11. Rumi96

    Wadau wale watu wa online mkuje hapa nahitaj msaada

    Kuna kazi ya Kurekodi, ila muwe pair, male and female. Kama unaweza, ni PM for details. Muhimu ni kurekodi ukiwa sehemu tulivu.
  12. Rumi96

    Nawapa tahadhari, msitapeliwe

    Tunakulaga 5k zao tunasepa, hatuweki pesa. Ww chambo, imekumala.
  13. Rumi96

    DOKEZO Responded Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

    Mimi ni mwalimu, muda sana wadau wanasema humu "PSRS Usiposoma hutoboi" niliichukua hiyo kama changamoto. Masomo yote nimeenda oral. Maswali ya oral nimejibu vema, swali la presentation niliandaa lesson plan na lesson notes. Hivo nasubiri maamuzi. Waalimu wenzangu wakubali, mchakato ni fair kabisa.
Back
Top Bottom