Recent content by rumbongo

  1. R

    How Real Madrid helped rebuild Manchester United after the Munich air disaster

    Good story very entertaining yet educative
  2. R

    Ronaldo atoa msaada wa fedha kwa familia za wachezaji waliofia katika ajali ya ndege

    Mbona mahaba yenu ya siasa mnaleta kwenye michezo lazima kuwe na kitu ambacho tutakua pamojawatu wa itikadi zote za kisiasa Kwa njia hiio tunajenga uadui usio na maana na tutafika mahali tusizikane na hiio si mila zetu hivyo hapa tujadili michezo siasa iende kwenye eneo la. Siasa
  3. R

    Fall of Luis Enrique and the rise of Zinedine Zidane

    Hapana kama watafungwa so zaidi tatu kwa sababu Bale na Kroos hawapo
  4. R

    Fall of Luis Enrique and the rise of Zinedine Zidane

    Wanamtaka Moses wa Chelsie
  5. R

    Fall of Luis Enrique and the rise of Zinedine Zidane

    Lamasia kwasasa haina eachezaji wenye viwango na hiio hua inatokea kwa bahati ukapata kundimoja kwa mwaka ukapata wachezaji zaidi ya saba wote in wazuri kama class ya akina Messi kabla ya hapo walikua wananua sana kuanzia akina Etto Ibra Gaucho Rivaldo au mfano angalia ,class.ya. akina Beckham...
  6. R

    Kwa wapenzi wa Western Movies mnazikumbuka hizi? Hapa ndo Nyumban kwetu Sasa.

    Luna The Magnicent Seven ,Afistfull of dollars,Keoma wababe kama Anthony Steven,Jim Brown
  7. R

    Lampard, Scholes na Gerrard ulimkubali yupi zaidi?

    Tuzungumzie kwa hiki kizazi cha sasa lakinimsimalize maneno kama vile katika England hajatokei mchezaji kama yeye kwani kulikua na wachezaji kama Bobby More captain wa England miaka ya. 66 /70mpakasasa hajatokea kiungo kama Hugo na yeye na timu take wameleta kombe la dunia England jambo...
  8. R

    Timu Ya Sammata Yalambwa Bao 6

    Kigezo gani cha kitaaluma ya Mpira kimewaonyesha ninyi huku TZ kwàmba kiwango cha Samata kimeshuka
  9. R

    Timu Ya Sammata Yalambwa Bao 6

    Katika kumbukumbu zako usisahau kwamba Barca alishapigwa 7 na Madrid
  10. R

    Fall of Luis Enrique and the rise of Zinedine Zidane

    Lakini mbona mwenzake Gadiola alitengeneza viungo wengi tu mpaka wengine walikua bench nadhani Luis uwezo wake mdogo na kuna tetesi kuna coach aliekua timu B huenda akapewa timu maana hata wale watu watatu hodari kwa sasa ile spidi yà kufunga imepungua
  11. R

    Hii ndo Nairobi southern ByPass aliyozindua Rais Magufuli katika Picha

    Kenya katika miundo mbinu wako mbali siku nyingi toka wakati wa ukoloni wazungu walijenga has a Nairobi hata fedha zetu Uganda na Tanzania zimejenga Kenya pia kenya barabara zake kwa ukubwa no ndogo kuliko Tanzania sisi barabara za maana zimeanza jengwa baada ya Uhuru
  12. R

    Wapi nitapa video clips za Mh Suleiman Wachupucha?

    Hill lilikuwa in jina halisi so kwa sababu ya kuwatesa Waisreli na kumbuka kwamba wakati huo watumwa ndio walikuwa wanafanyishwa Kazi ngumu dunia nzima
  13. R

    Wapi nitapa video clips za Mh Suleiman Wachupucha?

    Firauni nilimetamkwa kiswahili zaidi lakini ndip jina sahihi kwa kiarabu Farao no kizungu Niko tayari kusahihishwa
  14. R

    BMT nini maana yake

    BMT hawajakosea katika maelezo yao kwamfano Leo yanga yaendeshwa na katiba yake ambayo ndio muongozo shughuli zake zote za kila siku na wamiliki wa timu in. wanachama Hivyo endapo utaigeuza hio club kuwa kampuni basi ni dhahiri ile mambo ya katiba Hayata kuwepo badala yake kutakuwa na...
Back
Top Bottom