kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Umekumbuka nini mkuu?Kwa mwenye ile video clip yenye wimbo wa Achukucha ambao kuna jamaa alikuwa Jukwani akasema CCM itaondoka kama alivyoondoka Firauni anisaidie bajameni.
Umekumbuka nini mkuu?Kwa mwenye ile video clip yenye wimbo wa Achukucha ambao kuna jamaa alikuwa Jukwani akasema CCM itaondoka kama alivyoondoka Firauni anisaidie bajameni.
Dah... Siyo ni mtu anayependa kula "chura"?Nadhani huyu alikuwa mtawala wa Misri ya kale akiitwa Farao.
****Nipo tayari kusahihishwa.
Lilichukuliwa hivyo kutokana na ukatili aliokuwa nao huyu jamaa kwa jamii ya waisrael ambao walikuwa utumwani huko misri.Unajua mi kila siku kuwa neno firahuni navyofahamu kuwa ni tusi kumbe sio
'Chura' wa Snura au frog mkuu?Dah... Siyo ni mtu anayependa kula "chura"?
Dah....frog wa snura'Chura' wa Snura au frog mkuu?
Dah....frog wa snura
Firauni nilimetamkwa kiswahili zaidi lakini ndip jina sahihi kwa kiarabu Farao no kizungu Niko tayari kusahihishwaFirauni ni kiswahili fasaha cha Pharaoh kama sikosei
Hill lilikuwa in jina halisi so kwa sababu ya kuwatesa Waisreli na kumbuka kwamba wakati huo watumwa ndio walikuwa wanafanyishwa Kazi ngumu dunia nzimaLilichukuliwa hivyo kutokana na ukatili aliokuwa nao huyu jamaa kwa jamii ya waisrael ambao walikuwa utumwani huko misri.
Chukua nilichoandika unganisha na niliemjibu halafu uamue kama nimesema ni jina lake au sio jina lake, halafuu kasome nilichomjibu alieuliza "Ni nini maana ya Firauni" ..Hill lilikuwa in jina halisi so kwa sababu ya kuwatesa Waisreli na kumbuka kwamba wakati huo watumwa ndio walikuwa wanafanyishwa Kazi ngumu dunia nzima
Mtu manage hajaribiwiHivi maana ya Firauni ni nini?