Recent content by Rukie

  1. R

    Amesema anaenda kusalimia ndugu, baada ya kufika hapokei simu

    Huyu bila shaka amengukia kwenye mikono ya singo Maza maana hawakawii kukiwasha
  2. R

    Nimeangukia kwa single Mother

    ''KATAA NDOA UISHI KWA UIMARIKE KIUCHUMI'' nimeipenda hii kauli
  3. R

    Tozo za lipa kwa simu mitandao inakomesha wateja au mawakala

    Dah hii huduma changamoto wateja wamehama na kuanza kutumia huduma za Lipa as if ni halali mi naona Bora makampuni ya simu wafute huu utaratibu kwa muda
  4. R

    Nimetunukiwa tunda na mtoto wa kizungu guest za Manzese

    Hizi akili za marioo kijana kuwa makini utakua shoga fanya kazi
  5. R

    Pos/Mashine za uwakala wa bank NMB & CRDB

    Boss umeongea sahihi ila binafsi kitu nilichofanya nilimtafuta wakala Ambae ana machine ya NMB nikatangaza offer yangu binafsi nilimlipa 1m lakini awali nilikuwa nimeunganishwa na NMB kwa simu Baada ya kuwa tumekubaliana tulienda Benki ya NMB Mimi nikawasiliana na Champion wangu tukahamisha...
  6. R

    Kuwekeza hisa na kupata kipato kupitia company

    Hawa ni matajiri siunamuona boss wao Dr Chenza anatamba tu
  7. R

    Ufafanuzi wa NHIF baada ya kusitisha huduma ya Bima ya TOTO AFYA KADI

    Ile ni huduma lengo ni kutoa unafuu kwa raia tatizo wao wanataka kufanya kibiashara na wanapata ruzuku
  8. R

    Ufafanuzi wa NHIF baada ya kusitisha huduma ya Bima ya TOTO AFYA KADI

    Changamoto ya huu mfuko ni kutaka kujiendesha kwa faida wakati ni huduma ambapo mwananchi anatakiwa kufanya cost sharing
  9. R

    Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

    Tazama maisha anayoishi binadam na mnyma ni sawa???
  10. R

    Simba Bob Junior wa Serengeti apinduliwa na kuuawa

    Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akili
  11. R

    Sasa ni wakati BOT mjitambue na kuondoa ada za mwezi zibaki za miamala tu

    We acha TU Mimi alafu wangekuwa wanatuma ujumbe wakikata pesa
Back
Top Bottom