Dah hii huduma changamoto wateja wamehama na kuanza kutumia huduma za Lipa as if ni halali mi naona Bora makampuni ya simu wafute huu utaratibu kwa muda
Boss umeongea sahihi ila binafsi kitu nilichofanya nilimtafuta wakala Ambae ana machine ya NMB nikatangaza offer yangu binafsi nilimlipa 1m lakini awali nilikuwa nimeunganishwa na NMB kwa simu
Baada ya kuwa tumekubaliana tulienda Benki ya NMB Mimi nikawasiliana na Champion wangu tukahamisha...
Hapana kwa mujibu wa vitabu vya wanyama wote hawatowajibika kwa Lolote kwa kuwa hawana hakili atakaewajibika kwenda peponi na motoni ni Binadam kwa sababu ana akili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.