HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
Habarini,
Hivi sasa kumekuwa na wizi wa mabenki kwa kuweka tozo nyingi kwenye akaunti za wateja wa mabenki hivyo kujikuta hela zina katwa tu bila sababu za msingi.
Mteja ameweka hela zake benki na benki wanazikopesha kwa riba sasa nani amlipe mwenzie benki au mteja?
Kwanini mabenki yakate ada kwenye hela ambayo haitolewi huduma ipo tu?
BOT liangalieni hili hasa pale ambapo akaunti haina hela mabenki yanalimbikiza deni tu manake nini mteja akiweka hela wanakata limbikizo lote kufidia ada huu nao ni wizi.
Hivi sasa kumekuwa na wizi wa mabenki kwa kuweka tozo nyingi kwenye akaunti za wateja wa mabenki hivyo kujikuta hela zina katwa tu bila sababu za msingi.
Mteja ameweka hela zake benki na benki wanazikopesha kwa riba sasa nani amlipe mwenzie benki au mteja?
Kwanini mabenki yakate ada kwenye hela ambayo haitolewi huduma ipo tu?
BOT liangalieni hili hasa pale ambapo akaunti haina hela mabenki yanalimbikiza deni tu manake nini mteja akiweka hela wanakata limbikizo lote kufidia ada huu nao ni wizi.