Tatizo la harrison nadhani ni ile kemikali.
Iliathiri hadi mfumo wake wa reasoning..
Dkt Harrison alikuwa mtu smati sana ila kwa sasa anaboa.
Mzee wa thesis
Mhe. Ishu ni wanywa pombe vs wasiokunywa pombe kwamba wanaume wasiokunywa pombe wanapenda wanawake.
Hoja yangu ni kuwa km wanywa pombe hawapendi wanawake mbona machangudoa wamejaxana huko pande za vileo?
Wewe unapoteza muda wako bure kumwonesha kipofu kupatwa kwa jua.
Ukiona mtu anapambana dhidi ya upinzani basi huyo ni mchawi wa demokrasia na ni wa kupuuzwa.
Kwani lawama zipo kwa TBC au serikali ktk hili?.
TBC inafuata maelekezo kutoka kwa bosi wake ambaye ni serikali ya CCM.
Kwa hiyo ni rahisi kufanya editing kwa raw bunge session kwa mujibu wa maelekezo ya bosi.
Tatizo watu tupo suspicious na agenda ya kutuletea recorded
Jamii forum ya kipindi hicho ilikuwa na watu serias kwa sababu ilikuwa na watu wazima wa tabaka fulani but now kila mtu ana uwezo wa kupata smart phone cheaply..
Mimi nilidhani wabunge wapo kuisimamia serikali na kutunga sheria..
Sasa mzee wetu pinda anataka wabunge wajiandae kwa hoja dhidi ya wabunge wenzao kisa ni wa upinzani..
Kwangu network haisomi kwa hili maana tunatarajia hili kuwa bunge la kuibua kashifa kwa ajili ya kumrahisishia mheshimiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.