Wewe ndiyo mwenye bangi kichwani unayerukia mambo usiyoyaelewa. Kuna njia nyingi za ku-consolidate mzigo ili kuweza ku-operate kwenye commodity exchange. Mifano: ushirika, mazao ghalani, private company, n.k. Hivyo kuwa na wakulima wadogo siyo kikwazo cha kuwa na commodity exchange. Ila hili...
Hili siyo soko la kuuza kiroba kimoja au kilo mia. Ni soko la mzigo mkubwa. Hivyo muuzaji na mnunuzi wote wanatakiwa kuwa na mtaji wa kutosha.
Vile vile soko hili lina risk. Bei mliyofungia mkataba inaweza kumfaidisha mmoja na kumuumiza mwingine wakati wa kutekeleza mkataba. Lakini zipo mbinu...
Sanduku lipi? Tume ya Uchaguzi iliyopo haina uwezo wala nia ya kutayarisha uchaguzi huru na wa haki. Ni uporaji tu kama wa serikali za mitaa. Atapatikana Rais lakini si kupitia kura za wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.