Recent content by RugambwaYT

  1. RugambwaYT

    Pancha kwenye upande wa tairi

    I hope umeshaweka. Wakiziba vizuri maisha yanaendelea tu. Tena kama safari zako ni mjini wala hakuna stress.
  2. RugambwaYT

    Kapata Chuo Dodoma Asome Accounts Akiwa Amesoma PCB –Ushauri

    Wahasibu wengi sana aise! Kama amesoma PCB, nashauri apambane apate kozi itakayosaidia kuongeza nguvukazi kwenye sekta ya afya.
  3. RugambwaYT

    M-PESA sio salama kabisa? Wakala anawezaje kuiba pesa ambayo tayari imeingia kwenye simu

    Kama una shida ya dharura, kuwasiliana na hawa jamaa kwa simu, social media etc ni kupoteza muda wako tu. Hautasaidiwa kwa wakati. Labda uende ofisini kwao ukapange foleni.
  4. RugambwaYT

    Mitsubishi outlander, Subaru Forester au Harrier nichukue lipi?

    Nimewahi kuhesabu idadi ya Harrier kwa Dsm. Ni nyingi balaa. Nafikiri ukitoa IST, zinafuata Harrier kwa kuwa na idadi kubwa. Soon nitafanya hesabu ya Land Cruisers. Hasa Prado.
  5. RugambwaYT

    Mercedes Benz wamezindua GLC yenye SUV ya umeme: Inakupa range ya kilometa 700!

    At least hii inaonekana kama gari. Sio ile EQS inayofana na vacuum cleaner.
  6. RugambwaYT

    Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Shida sio engine, ni gearbox. Ndio maana wamehamia kwenye CVT siku hizi.
  7. RugambwaYT

    Leo ngoja nivisanue hivi vitoto va Gen Z

    Kabisa mkuu! Na sisi tunasumbuka sana sababu ni kizazi cha transistion kutoka analogia kwenda digitali. Tumezaliwa enzi mtu mwenye TV anaheshimika mtaani, sasa hivi kuna TV mpaka kwenye bajaj. Enzi zetu mtu akinunuliwa "Brick Game" anafeli mitihani yake yote, sasa hivi watoto wana PS5 na games...
  8. RugambwaYT

    Leo ngoja nivisanue hivi vitoto va Gen Z

    Mkuu, hili jambo la kulalamika kukiona kizazi cha tofauti na chako kuwa hakiko sawa, halijaanza leo, na wala halitawahi kuisha. Kumbuka na kizazi cha mbele pia huwa kinashangaa sana mambo ya kizazi cha nyuma. Mfano, ulishawahi kujiuliza kwa nini wengi kati ya kina baba zetu walikuwa...
  9. RugambwaYT

    Ndugu Pole Pole, ikawaje uendelee na Press ilhali nyumbani Pana msiba?

    Watanzania, na sio watanzania kama ulivyoandika.
  10. RugambwaYT

    Ulianza kumiliki simu akiwa na umri gani??

    Hii kitu ilikuwa inafungwa kufuli ili kuzuia matumizi yasiyo rasmi
  11. RugambwaYT

    Ulianza kumiliki simu akiwa na umri gani??

    Ringtonation unaikumbuka?
  12. RugambwaYT

    Nimeuza kiwanja changu milioni 10, nataka ninunue bodaboda 3. Hii biashara mnaionaje?

    Kweli kweli umeamua kuifanya hiyo biashara, anza na boda moja. Kama ni biashara mpya kwako, then ukishaona mafanikio yake, ongeza nyingine. Otherwise, hakikisha unafanya usimamizi wa kutosha.
  13. RugambwaYT

    Passive Income Haiwezi kukutajirisha - Wanakudanganya.

    Unauwezo wa kufanya passive income sources zako kuwa sources za active income yako. Kumbuka return ya kwenye investments, say nyumba (au real estate in general) sio kodi pekee. Ni wewe kujua jinsi ya kuishi nayo ikutengenezee pesa. Wengi wetu tunajua ni kodi pekee.
Back
Top Bottom