Kama una shida ya dharura, kuwasiliana na hawa jamaa kwa simu, social media etc ni kupoteza muda wako tu. Hautasaidiwa kwa wakati.
Labda uende ofisini kwao ukapange foleni.
Nimewahi kuhesabu idadi ya Harrier kwa Dsm. Ni nyingi balaa. Nafikiri ukitoa IST, zinafuata Harrier kwa kuwa na idadi kubwa.
Soon nitafanya hesabu ya Land Cruisers. Hasa Prado.
Kabisa mkuu! Na sisi tunasumbuka sana sababu ni kizazi cha transistion kutoka analogia kwenda digitali.
Tumezaliwa enzi mtu mwenye TV anaheshimika mtaani, sasa hivi kuna TV mpaka kwenye bajaj.
Enzi zetu mtu akinunuliwa "Brick Game" anafeli mitihani yake yote, sasa hivi watoto wana PS5 na games...
Mkuu, hili jambo la kulalamika kukiona kizazi cha tofauti na chako kuwa hakiko sawa, halijaanza leo, na wala halitawahi kuisha.
Kumbuka na kizazi cha mbele pia huwa kinashangaa sana mambo ya kizazi cha nyuma.
Mfano, ulishawahi kujiuliza kwa nini wengi kati ya kina baba zetu walikuwa...
Kweli kweli umeamua kuifanya hiyo biashara, anza na boda moja. Kama ni biashara mpya kwako, then ukishaona mafanikio yake, ongeza nyingine.
Otherwise, hakikisha unafanya usimamizi wa kutosha.
Unauwezo wa kufanya passive income sources zako kuwa sources za active income yako.
Kumbuka return ya kwenye investments, say nyumba (au real estate in general) sio kodi pekee. Ni wewe kujua jinsi ya kuishi nayo ikutengenezee pesa. Wengi wetu tunajua ni kodi pekee.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.