Mkuu, unapoamua kutumia your hard- earned-money kununua gari, hakikisha unafanya utafiti wa kutosha. Usiishie mtandaoni tu au kusikiliza maneno ya wauzaji. Brevis kutumia lita 1 kwa 11km za mjini ni ngumu. Same can be said kwa gari za miaka 2000 - 2012 zenye cc kuanzia 2,000 na kuendelea.
So...
Mkuu, usiumie kichwa. LC300 ni next level. Ina speed sana kulinganisha na Land Cruisers za nyuma yake, na magari mengine mengi tu.
Ila kwa upande speed, inazidiwa au inaweza kuzidiwa na magari mengine mengi tu. Hata ya Toyota, hasa yale yaliyotengenezwa kwa ajili ya mbio (e.g GR Corolla, GR...
FB20 ya Forester SJ5 ya kuanzia 2015 haina hizo shida. Ukitaka uhakika, chukua ya kuanzia 2016 ile facelifted.
Models za mwanzo ndio zilikuwa na changamoto zikiwa mpya. Nyingi zilikuwa fixed baadae, otherwise tusingeweza kuzinunua used zenye km zaidi ya 80k.
Kama una shida ya dharura, kuwasiliana na hawa jamaa kwa simu, social media etc ni kupoteza muda wako tu. Hautasaidiwa kwa wakati.
Labda uende ofisini kwao ukapange foleni.
Nimewahi kuhesabu idadi ya Harrier kwa Dsm. Ni nyingi balaa. Nafikiri ukitoa IST, zinafuata Harrier kwa kuwa na idadi kubwa.
Soon nitafanya hesabu ya Land Cruisers. Hasa Prado.
Kabisa mkuu! Na sisi tunasumbuka sana sababu ni kizazi cha transistion kutoka analogia kwenda digitali.
Tumezaliwa enzi mtu mwenye TV anaheshimika mtaani, sasa hivi kuna TV mpaka kwenye bajaj.
Enzi zetu mtu akinunuliwa "Brick Game" anafeli mitihani yake yote, sasa hivi watoto wana PS5 na games...
Mkuu, hili jambo la kulalamika kukiona kizazi cha tofauti na chako kuwa hakiko sawa, halijaanza leo, na wala halitawahi kuisha.
Kumbuka na kizazi cha mbele pia huwa kinashangaa sana mambo ya kizazi cha nyuma.
Mfano, ulishawahi kujiuliza kwa nini wengi kati ya kina baba zetu walikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.