Pancha kwenye upande wa tairi

Pancha kwenye upande wa tairi

Haifai kabisa. Huwa inakauka na kujikusanya sehemu moja. Inaharibu wheel balance. Ukiwa safari gari litakuboa aise. Hayo madude hayafai.
Ni kweli kabisa mkuu, zinafaa tu kwenye tair za pikipiki tena iwe imeanza kuchoka, ukiweka kwenye tair mpya ujue ushaiua,

Hii dawa ingekuwa nzur bac kila mtu angeweka maana hakuna anaependa kupata pancha wakati OKO ipo ukitia inazibaaa....mwanzon watu waliishobokea ila baada ya kujua madhara yake walikimbia chap kwa haraka
 
Ni kweli kabisa mkuu, zinafaa tu kwenye tair za pikipiki tena iwe imeanza kuchoka, ukiweka kwenye tair mpya ujue ushaiua,

Hii dawa ingekuwa nzur bac kila mtu angeweka maana hakuna anaependa kupata pancha wakati OKO ipo ukitia inazibaaa....mwanzon watu waliishobokea ila baada ya kujua madhara yake walikimbia chap kwa haraka
Kabisa. Maana enzi hizo kila ukienda kuziba tairi jamaa lazima warecommend.
 
wataalamu wanasema viraka vya pembeni ya tairi havifai kwa sababu tairi ikipungua upepo kiraka cha pembeni kinatabia ya kulegea na kutoka hii inatokana na kuwa airi likpungua upepo linatabia ya kulegea

wanashauri kiraka kiwekwe juu ya tairi(ile sehemu ambayo tairi linakanyaga chuni_) wanasema pale kiraka kinakandamizwa na sio rahisi kubanduka

pembeni ya tairi unatakiwa kuziba na utambi na sio kiraka

ila kwa mwenye elimu zaid aje atuelimishe wana jukwaa

nko tayari kukosoleewa
 
Tairi ina miezi mitatu tu imechanika pembeni roho inaniuma kuitupa.

Kuna mzee ana uzoefu wa 30+yrs kwenye kuzipa pancha kaniambia 15K anaziba kwa moto ni uhakika na kanionesha matairi ya malori yanayosubiri kuchukuliwa baada ya kazi.

NB: Routes zangu ni mjini tu,gari linatembea 4000km kwa mwaka mzima maximum.

Vipi nipige RugambwaYT
 
Tairi ina miezi mitatu tu imechanika pembeni roho inaniuma kuitupa.
Mkuu kabla ya kununua hilo tairi,uliangalia kama halijaisha muda wake? Tye's expiry date,
Tairi linaweza kua ni jipya halijatumika na lipo Dukani ila linakua limeisha muda wake wa matumizi,

Kwa kawaida tairi linatakiwa kubadilishwa miaka 6-10 toka siku limetengenezwa kiwandani,sio toka lini limenunuliwa Dukani.
 
Mkuu kabla ya kununua hilo tairi,uliangalia kama halijaisha muda wake? Tye's expiry date,
Tairi linaweza kua ni jipya halijatumika na lipo Dukani ila linakua limeisha muda wake wa matumizi,

Kwa kawaida tairi linatakiwa kubadilishwa miaka 6-10 toka siku limetengenezwa kiwandani,sio toka lini limenunuliwa Dukani.
Labda na hiyo tarehe ya kutengenezwa inachakachuliwa siku hizi.

Ni la 2025,mazingira ya kupasuka kwake wala sina shaka nayo kabisa.

Yaliyokuja na gari ni ya 2019 nilikuwa nimeyapumzisha ndiyo nimerudishia baada ya pancha.
 
Tairi ina miezi mitatu tu imechanika pembeni roho inaniuma kuitupa.

Kuna mzee ana uzoefu wa 30+yrs kwenye kuzipa pancha kaniambia 15K anaziba kwa moto ni uhakika na kanionesha matairi ya malori yanayosubiri kuchukuliwa baada ya kazi.

NB: Routes zangu ni mjini tu,gari linatembea 4000km kwa mwaka mzima maximum.

Vipi nipige RugambwaYT
mkuu hilo tairi kuwa na miezi 3 ni Tangu limetengenezwa kiwandani au ni tangu umelinunua wewe dukani.? maana muda wa kiwandani ndio wa kuzingatiwa..ama kama tuone namba za hilo tairi zipo kwa pembeni zipige picha tuzione hapa tuzisome..au umenunua brand za wachina
 
mkuu hilo tairi kuwa na miezi 3 ni Tangu limetengenezwa kiwandani au ni tangu umelinunua wewe dukani.? maana muda wa kiwandani ndio wa kuzingatiwa..ama kama tuone namba za hilo tairi zipo kwa pembeni zipige picha tuzione hapa tuzisome..au umenunua brand za wachina
Mchina kumkwepa ni ngumu mno hasa mkoani Chief kwa tairi za hizi gari ndogo!!

Tairi halina mwaka toka litengenezwe na nimelinunua September mwishoni 2025.
 
Tairi ina miezi mitatu tu imechanika pembeni roho inaniuma kuitupa.

Kuna mzee ana uzoefu wa 30+yrs kwenye kuzipa pancha kaniambia 15K anaziba kwa moto ni uhakika na kanionesha matairi ya malori yanayosubiri kuchukuliwa baada ya kazi.

NB: Routes zangu ni mjini tu,gari linatembea 4000km kwa mwaka mzima maximum.

Vipi nipige RugambwaYT
I hope umeshaweka. Wakiziba vizuri maisha yanaendelea tu. Tena kama safari zako ni mjini wala hakuna stress.
 
Back
Top Bottom