kuhusu chuo mimi ni mwanafunzi nimemaliza diploma na G.P.A ya 4.6 ya information and technology nimeapply vyuo viwili wrote wajanipa majibu ukiuliza wanasema tatizo T.C.U kivipi na chuo chetu kilikuwa hakipo chini ya TCU kipo chini ya nacte ndiyo wakatupa A.V.N
Dunia ni nyumba iliyojaa kila aina ya mabadililo na imebeba wanadamu wa kila tabia, nashukuru wazazi huwa hawako mbali siku zote kuniambia watendayo walimwengu wema, ubaya na kipi chema kipi kipindi nikuwapo.
Walinifundisha vitu muhimu kuhusu Mimi.
1.Mwili
Wakaniambia mwili wako ni sawa na...
Watuhumiwa 10 chini ya ulinzi kufuatia Diwani aliyeuawa kwa mapanga
Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro linawashikiliwa watuhumiwa zaidi ya 10 wa mauaji ya aliyekuwa Diwani wa Chadema, Kata ya Namwawala Wilaya ya Kilombero, Godfrey Lwena
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Ulrich Matei, amesema...
Serikali imesema inaandaa mwongozo kwa Wakuu wa Mkoa, Paul Makonda na Alexander Mnyeti baada ya kutoa matamko ya kusimamisha na kuvunja shughuli za mabaraza ya kata.
Taarifa hiyo imetolewa na Katibu mkuu Ofisi ya Rais, Mussa Iyombe ambaye amesema.
” Tunakamilisha mwongozo kuhusu suala hilo...
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu na muziki Bongo, Baby Madaha ameeleza kuwa katika maisha yake hakuna kitu kilichowahi kumtafuna na kumletea shida kwenye familia yake kama skendo ya kutumia unga.
Akichonga na Risasi Vibes, Baby alisema kuwa, skendo hiyo ilitokana na kushiriki kwenye filamu...
Vifaranaga 5000 vilivyokamatwa kutoka nchini Kenya vikiingizwa nchini kinyemela vimeteketezwa kwa moto ili kuepusha tishio la kuwepo kwa ugonjwa wa mafua ya ndege.
Vifaranga hivyo vimekamatwa katika eneo la mpakani mwa Kenya na Tanzania, Namanga ambapo baada ya kukamatwa vifaranga wa kuku wa...
Mwanadada anayefanya vizuri katika sanaa ya muziki wa Bongo Fleva na sasa anafanya vizuri katika mauzo ya albamu yake inayojulikana kama MoneyMonday, Vanessa Mdee maarufu kama Vee Money ametaja gharama alizotumia kukamilisha albamu hiyo.
Ambapo amesema kuwa albamu ya MoneyMonday mpaka...
Wasanii wa kizazi kipya Aslay na Nandy hatiani kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za kufanyia kazi wimbo ujulikanao kama ”Subalkheri” ulioimbwa na kikundi cha Taarabu Asilia visiwani Zanzibar (Culture Music Club) bila ridhaa toka kwa kikundi hiko.
Hayo yameibuka mara baada wasanii hao kutuhumiwa...
STAA wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kumtia matatani askari magereza mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, Ijumaa Wikienda lilishuhudia mkanda mzima.
Ndani ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika Kitengo cha Ustawi wa Jamii, askari huyo alisahau kofia yake ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.