Recent content by rufino

  1. R

    KERO Ujenzi wa Barabara hii ya Bukoba Manispaa ulitakiwa kukamilika Oktoba 2024, haujakamilika hadi Februari 2026

    Samahani itabidi mvute subira mpaka kipindi cha uchaguzi ujao. Labda kama 2028 hivi.
  2. R

    Wazungu hawa hawa ndio tunaowalaumu kwa matatizo yetu au wengine

    Nakubaliana na wewe personal attacks hazisogezi mbele maongezi. Lakini jibu lako lingekuwa na mshiko kama ungetoa hapa picha ya nyumba imara na nzuri za Africa za miaka 2000 iliyopita zinazoweza kushindana na hizo za Roma ya wakati huo. Usiagaike, hazipo.
  3. R

    Larry Madowo is not an Investigative journalist, he is just business and economic reporter!

    Una hakina unajua Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa na ile alikochukua CNN. Hupati latest satellite imagery kutoka Google Map ( commercial or otherwise ). Commercial Google map imagery zake hazina tofauti na hizo unazoziona mwenyewe uki-google location. Ni za zamani.
  4. R

    Larry Madowo is not an Investigative journalist, he is just business and economic reporter!

    What? Google wenyewe wananunua images kutoka sources hizo hizo alikochukua CNN. Google Map images zao sio real-time, nyingine ni 3 - 5 years old. Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa. Ni Routes, API etc. sio kuuza real-time imagery. Kwa taarifa hizo images mtu yeyote anaweza...
  5. R

    Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7. Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc...
  6. R

    PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

    Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
  7. R

    PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

    Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
  8. R

    Kutoka 2020 - 2025, Tanzania yashuhudia ongezeko la wapiga kura kwa speed ya 7G

    Napenda kuweka namba kwenye charts. Haya.
  9. R

    Baadhi ya ukweli muhimu kwa raia wa Israel wa ki-roho (Watanzania) Wanapaswa Kuelewa kuhusu Iran na Israel

    Hata kwa kigezo hicho ni utoelewa kushabikia taifa linalotumia jina Israel enzi hizi kwa sababu Israel ya kwenye Biblia sio hii ya Netanyahu na wazungu wahamiaji kutoka Ulaya mashariki. Uhusiano wa Israel ya leo na Israel ya Biblia ni sawa wa Ghana ya leo na Ghana Empire ya 300 to 1200 AD...
  10. R

    Natafuta mhandisi mwenye sifa kuandaa michoro ya plumbing kulingana na house plan ya vyumba vitatu. Plan imeshapata kibali cha ujenzi.

    Kama una huo ujuzi tuongee. Hata kama huna degree ya engineering ili mradi una uzoefu wa kutosha
  11. R

    Naombeni mchanganuo wa gharama na idadi ya materials ya kujenga fensi ya ukuta 20m x 20m

    Sikupata ufafanuzi lakini nimefanya utafiti kidogo. Ni kweli approximately tofali mbili za 450mm (L) zinajenga 1m
  12. R

    Naomba kujuzwa standard size za matofali ya cement kwa milimita.

    Hayawezi kufaa kujengea fence ili kupunguza matumizi ya cement?
  13. R

    Naomba kujuzwa standard size za matofali ya cement kwa milimita.

    Ni swali au rekebisho? Nina nia ya kujua hivi vipimo kwa uhakika.
  14. R

    Naomba kujuzwa standard size za matofali ya cement kwa milimita.

    Kwakuwa huko hapa unaweza kunipa sababu za kiufundi au kiuchumi kwa nini sioni tofali za aina hii (picha) hazitumiki sana.
  15. R

    Naomba kujuzwa standard size za matofali ya cement kwa milimita.

    Ahsante sana. Kumbe tofauti ya 6in na 5in ni kwenye thickness. Nilidhani ni length.
Back
Top Bottom