Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7.
Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc...