Recent content by rufino

  1. R

    JamiiForums Tanzania Hali halisi ya umeme ilivyo Nigeria inatisha sana,by #shany!

    Ahsante kwa kutuelimisha. Naomba kujua umefunga system ya kW ngapi? Kwa bei ya million 6.5 TZS na matumizi uliyotaja naona kama bei sio mbaya sana. Sijui hapa system kama hiyo inaweza kuwa shingapi hapa Tanzania?
  2. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Ahsante sana kwa taarifa. Kumbe unaweza kupata majibu ya maswali yako hapa JF
  3. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Huko sahihi. Safari tatu kwa wiki sio mbili.
  4. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    MV Mwanza ni meli ya abiria first and foremost japo tani 400 za mzigo si kidogo. Meli iliyojengwa mahsusi kwa mizigo ni MV Umoja na MV Uhuru. Hizi zinabeba mabehewa na treni. Niliwahi kusikia wana mpango wa kujenga meli nyingine ya mizigo
  5. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Mimi nadhani soko la abiria na mizigo lipo. Pamoja na daraa la Busisi kupunguza kwa kiasi gharama za usafiri wa barabara bado usafiri wa maji ni nafuu kuliko barabara. Meli ya MV Victoria ina safari mbili tu kwa wiki kati ya Mwanza na Bukoba. Hii ni ratiba iliyokuwepo tangu miaka ya 70...
  6. R

    JamiiForums Tanzania MV. Mwanza Hapa Kazi Tu inatoa huduma au hapana?

    Hii meli mpya kabisa inafanya route zipi? Hii meli nakumbuka tuliambiwa imeanza rasmi safari zake kati ya Mwanza na Bukoba mwezi Sept mwaka jana. Lakini sasa hivi nadhani hii route bado inahudumiwa na MV. Victoria peke yake. Wenyeji wa Mwanza, Bukoba Musoma hii meli inato huduma huko mliko? Au...
  7. R

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Ujenzi wa Barabara hii ya Bukoba Manispaa ulitakiwa kukamilika Oktoba 2024, haujakamilika hadi Februari 2026

    Samahani itabidi mvute subira mpaka kipindi cha uchaguzi ujao. Labda kama 2028 hivi.
  8. R

    JamiiForums Tanzania Wazungu hawa hawa ndio tunaowalaumu kwa matatizo yetu au wengine

    Nakubaliana na wewe personal attacks hazisogezi mbele maongezi. Lakini jibu lako lingekuwa na mshiko kama ungetoa hapa picha ya nyumba imara na nzuri za Africa za miaka 2000 iliyopita zinazoweza kushindana na hizo za Roma ya wakati huo. Usiagaike, hazipo.
  9. R

    JamiiForums Tanzania Larry Madowo is not an Investigative journalist, he is just business and economic reporter!

    Una hakina unajua Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa na ile alikochukua CNN. Hupati latest satellite imagery kutoka Google Map ( commercial or otherwise ). Commercial Google map imagery zake hazina tofauti na hizo unazoziona mwenyewe uki-google location. Ni za zamani.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Larry Madowo is not an Investigative journalist, he is just business and economic reporter!

    What? Google wenyewe wananunua images kutoka sources hizo hizo alikochukua CNN. Google Map images zao sio real-time, nyingine ni 3 - 5 years old. Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa. Ni Routes, API etc. sio kuuza real-time imagery. Kwa taarifa hizo images mtu yeyote anaweza...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Landing Rights for satellite launching in Tanzania

    Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7. Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc...
  12. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

    Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
  13. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

    Nadhani makaburini ( cemetery ) ni kiwanja pia hivyo kina mipaka. Inawezekana nguzo hiyo ni mpaka wa cemetery. Sijawahi kufika hapo. Ni mawazo tu.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kutoka 2020 - 2025, Tanzania yashuhudia ongezeko la wapiga kura kwa speed ya 7G

    Napenda kuweka namba kwenye charts. Haya.
  15. R

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya ukweli muhimu kwa raia wa Israel wa ki-roho (Watanzania) Wanapaswa Kuelewa kuhusu Iran na Israel

    Hata kwa kigezo hicho ni utoelewa kushabikia taifa linalotumia jina Israel enzi hizi kwa sababu Israel ya kwenye Biblia sio hii ya Netanyahu na wazungu wahamiaji kutoka Ulaya mashariki. Uhusiano wa Israel ya leo na Israel ya Biblia ni sawa wa Ghana ya leo na Ghana Empire ya 300 to 1200 AD...
Back
Top Bottom