Nakubaliana na wewe personal attacks hazisogezi mbele maongezi. Lakini jibu lako lingekuwa na mshiko kama ungetoa hapa picha ya nyumba imara na nzuri za Africa za miaka 2000 iliyopita zinazoweza kushindana na hizo za Roma ya wakati huo. Usiagaike, hazipo.
Una hakina unajua
Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa na ile alikochukua CNN. Hupati latest satellite imagery kutoka Google Map ( commercial or otherwise ). Commercial Google map imagery zake hazina tofauti na hizo unazoziona mwenyewe uki-google location. Ni za zamani.
What? Google wenyewe wananunua images kutoka sources hizo hizo alikochukua CNN. Google Map images zao sio real-time, nyingine ni 3 - 5 years old.
Commercial Google Map ni biashara tofauti kabisa. Ni Routes, API etc. sio kuuza real-time imagery.
Kwa taarifa hizo images mtu yeyote anaweza...
Sidhani kama CNN wana satellite za kwao. Na si lazima kurusha satellite yako ili upate data kama hizi. Ziko kampuni nyingi binafsi na mashirika ya serikali US, EU, China etc. Wanazo satellite nying angani zinazozunguka dunia 24/7.
Nyingi ni kwa ajili ya hali ya hewa, majanga, kilimo, spying etc...
Hata kwa kigezo hicho ni utoelewa kushabikia taifa linalotumia jina Israel enzi hizi kwa sababu Israel ya kwenye Biblia sio hii ya Netanyahu na wazungu wahamiaji kutoka Ulaya mashariki.
Uhusiano wa Israel ya leo na Israel ya Biblia ni sawa wa Ghana ya leo na Ghana Empire ya 300 to 1200 AD...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.