Hii insaikitisha. Tulikuwa na matumaini makubwa na hii meli.
Sasa ime dock Mwanza; haina mahali pa kwenda.
Mara ya mwisho nilisikia wansubiri Jinja au Port Bell ziwe tayari lakini sina imani kama hizi ports ni suluhisho.
Hii meli imejengwa kwa ajiri ya abiria kwanza. Mzigo ni ziada. Lakini...
Misingi ya hoja imebainisha kabisa kwamba uwezo wa Mungu sio sawa na binadamu.
Udhaifu wa hoja yenyewe ambao umegusia ni kwa nini huyo Mungu mwenye uwezo huo asizuie malaria au cancer ili matibabu yenye kuumiza au vifo visitokee?
Moja ya majibu ya hoja hii ni kwamba mabaya na mazuri ni mtazamo...
Mim
Kwa akili yangu siwezi kuona nia njema kwa majanga kama hayo.
Lakini tukirudi kwenye misingi ya hoja, mtoto anayedungwa sindano hawezi kuona nia njema katika mateso anayopitia.
Mtoto haelewi na hana uwezo wa kuelewa kwa nini mama anayempenda ghafla anaruhusu watu wamuumize bila sababu.
Ukishakubali Mungu yupo.
Ukishakubali kwamba Mungu anawapenda viumbe wake.
Ukishakubali kwamba Uwezo wa Mungu upo nje ya uwezo wa binadamu.
Basi "mabaya" yanayotokea duniani ni rahisi kuyaona ameyaruhusu kwa nia njema. Ni mfano kama mama unayempeleka mtoto wako achomwe sindano ya kutibu...
This attitude is very disappointing.
Kuhalalisha mauaji ya watu wasio na silaha sio suala la tofauti ya maoni.
Bahati mbaya ni mtazamo wa watu wengi.
Ni mtazamo unaotufanya tuone ni jambo la kawaida kumuua mwizi wa viatu Kariakoo.
Tubadilike. Maisha ya binadamu yana thamani.
Mwizi wa viatu leo...
Hatukuwafukuza Wajerumani. Walishindwa vita wakanyanganywa makoloni nyao.
Bahati mbaya kwetu maana Waingereza hawakuona manufaa ya Tanganyika maana tayari walikuwa na makoloni mengi yenye rasilimali ( asili na watu ) zaidi ya Tanganyika
Tunashukuru kwa taarifa ya kina.
Unaweza kutu-update maendeleo ya refinery ambayo Uganda wanapanga kujenga Hoima?
Mwanzo si tuliambiwa TPDC ilikchukua hisa ya 8% kwenye huo mradi? Ilikuwaje?
Mimi nadhani umechanganya "common cold" na "influenza" au "flu".
Ni kweli zipo chanjo za influenza kama ulivyosema, lakini mwenye swali alitaka kujua chanjo ya common cold.
Mimi naona usiangaike ku-debate na watu kama hawa.
Wanaokubishia hawana data. Wanakupotezea muda.
Wameambiwa na serikali Tanzania tuko vizuri. Kwao inatosha. Na ni kweli kuna metrics kadhaaa ambazo tuna nafuu kuliko majirani, mfani life expectancy, inflation. Lakini ni vema twende na data...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.