Recent content by rufino

  1. R

    JamiiForums Tanzania Hivi "MV Mwanza Hapa Kazi Tu" ndio rasmi imekuwa "white elephant"?

    Hii insaikitisha. Tulikuwa na matumaini makubwa na hii meli. Sasa ime dock Mwanza; haina mahali pa kwenda. Mara ya mwisho nilisikia wansubiri Jinja au Port Bell ziwe tayari lakini sina imani kama hizi ports ni suluhisho. Hii meli imejengwa kwa ajiri ya abiria kwanza. Mzigo ni ziada. Lakini...
  2. R

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Rudisha logo ya zamani. It was more elegant.
  3. R

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Misingi ya hoja imebainisha kabisa kwamba uwezo wa Mungu sio sawa na binadamu. Udhaifu wa hoja yenyewe ambao umegusia ni kwa nini huyo Mungu mwenye uwezo huo asizuie malaria au cancer ili matibabu yenye kuumiza au vifo visitokee? Moja ya majibu ya hoja hii ni kwamba mabaya na mazuri ni mtazamo...
  4. R

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Mim Kwa akili yangu siwezi kuona nia njema kwa majanga kama hayo. Lakini tukirudi kwenye misingi ya hoja, mtoto anayedungwa sindano hawezi kuona nia njema katika mateso anayopitia. Mtoto haelewi na hana uwezo wa kuelewa kwa nini mama anayempenda ghafla anaruhusu watu wamuumize bila sababu.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Je, kuna Mungu? Kwanini aruhusu mateso makali duniani?

    Ukishakubali Mungu yupo. Ukishakubali kwamba Mungu anawapenda viumbe wake. Ukishakubali kwamba Uwezo wa Mungu upo nje ya uwezo wa binadamu. Basi "mabaya" yanayotokea duniani ni rahisi kuyaona ameyaruhusu kwa nia njema. Ni mfano kama mama unayempeleka mtoto wako achomwe sindano ya kutibu...
  6. R

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Madeleka: Nashangaa mpaka leo Polisi wameshindwa kukamata mtu hata 1 wa mauaji ya Oktoba 29, 2025

    This attitude is very disappointing. Kuhalalisha mauaji ya watu wasio na silaha sio suala la tofauti ya maoni. Bahati mbaya ni mtazamo wa watu wengi. Ni mtazamo unaotufanya tuone ni jambo la kawaida kumuua mwizi wa viatu Kariakoo. Tubadilike. Maisha ya binadamu yana thamani. Mwizi wa viatu leo...
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kuna muda unatamani wakoloni weupe wangeendelea kubaki, hebu angalia mpango huu mkubwa wa reli wa kuiunganisha Tanganyika uliovurugwa na vita ya dunia

    Hatukuwafukuza Wajerumani. Walishindwa vita wakanyanganywa makoloni nyao. Bahati mbaya kwetu maana Waingereza hawakuona manufaa ya Tanganyika maana tayari walikuwa na makoloni mengi yenye rasilimali ( asili na watu ) zaidi ya Tanganyika
  8. R

    JamiiForums Tanzania Tanzania–Uganda MoU ya Tanga: Tusichanganye “energy hub” na “refinery imekubaliwa kujengwa”

    Tunashukuru kwa taarifa ya kina. Unaweza kutu-update maendeleo ya refinery ambayo Uganda wanapanga kujenga Hoima? Mwanzo si tuliambiwa TPDC ilikchukua hisa ya 8% kwenye huo mradi? Ilikuwaje?
  9. R

    JamiiForums Tanzania Lets talk science kwa leo: Kwanini mpaka leo hakuna chanjo ya mafua?

    Mimi nadhani umechanganya "common cold" na "influenza" au "flu". Ni kweli zipo chanjo za influenza kama ulivyosema, lakini mwenye swali alitaka kujua chanjo ya common cold.
  10. R

    JamiiForums Tanzania Miongozo mipya jinsi ya kupima Tezi Dume

    Kuhusisha prostate cancer na STD kumeanza lini maana ugonjwa huu unajulikana toka enzi na enzi. Hata unalo jina la jadi kwenye makabila yetu.
  11. R

    JamiiForums Tanzania Miongozo mipya jinsi ya kupima Tezi Dume

    Hivi matibabu Ocean Road sio bure? Nilidhani ni hospitali ya serikali.
  12. R

    JamiiForums Tanzania Lets talk science kwa leo: Kwanini mpaka leo hakuna chanjo ya mafua?

    Virusi vya common cold ni vingi mno , zaidi ya 200, na vina-mutate haraka mno.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Uongozi wa awamu ya 5 unapenda sifa hadi unaboa, eti tokea ameingia madarakani tembo wameongezeka

    Mbona unaturudisha 2019 kwa juhudi sana. Kuna nini?
  14. R

    JamiiForums Tanzania Botswana na Namibia ni nchi tajiri zaidi barai Afrika, msikate tamaa tunaweza!

    Mimi naona usiangaike ku-debate na watu kama hawa. Wanaokubishia hawana data. Wanakupotezea muda. Wameambiwa na serikali Tanzania tuko vizuri. Kwao inatosha. Na ni kweli kuna metrics kadhaaa ambazo tuna nafuu kuliko majirani, mfani life expectancy, inflation. Lakini ni vema twende na data...
Back
Top Bottom