Recent content by rubwe

  1. R

    Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

    Prem namba inapatikana shuleni aliposoma mtoto na kwenye matokeo ipo
  2. R

    Wazazi wenye wanafunzi waliofutiwa matokeo ya Darasa la Saba 2022 tukutane hapa tutiane moyo

    Prem haianzii std 7 inaanzia std toka std 1 namba ya usajili wa mwanafunzi ambao haukufutwa kilichofutwa ni matokeo.
  3. R

    Wakurugenzi simamieni uhamisho wa walimu wa sekondari yasije tokea ya masasi girls huko Mtwara

    waku Katika kutekeleza hili wakuu wa shule wameingiza chuki binafsi
  4. R

    Mafanikio ya mkato katika maisha kwa wadada zinaumiza ndoa za watu

    Wapendwa habari? Jamani wadada acheni tabia ya kuharibu ndoa za watu kwenye ushirikina acheni tamaa za kijinga mnatesa familia za watu mkishaona mwanaume ana uwezo akikutongoza tu tayari mke wake na watoto waandike maumivu hii tabia ni mbaya isitoshe kila mtu ana mume wake aliyeandikiwa na...
  5. R

    Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

    Wanawake wengi washirikina kutokana na njaa lakini wa kigoma wamepitiliza hawa wanaharibu kabisa hadi familia ya mtu wanaisambaratisha kwa uchawi na hata ukichunguza kwenye jamii utagundua wanawake wengi wa kigoma wanakufa kwa kuchukua waume za watu
  6. R

    Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

    wanawake wengi washirikina kutokana
  7. R

    Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

    Na ukishakula limbwata ujijue hutochomoka kwa huyo mwanamke kigoma ni nomaaa
  8. R

    Usiombe ukutane na Mwanamke wa UJIJI-Kigoma

    Hamna lolote wanawake wa kigoma ni wachawi na ukigusa mwanamke wa kigoma kama una familia alafu una nafuu ya maisha ujijue familia yako itaangamia na kusahaulika kabisa na huyo mke Utama cha. Atakupumbaza akili kukusahaulisha familia yako na kukuchanganya wewe utaona mapenzi ndio haya mambo...
  9. R

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Mufindi mkoa wa Iringa nataka kwenda Mwanga mkoa wa Kilimanjaro. Mwalimu wa sekondari mawasiliano 0717057495
  10. R

    Nimedata na mchepuko

    Umeongea ukweli mtupu. Michepuko ya kuwa nayo makini mingine inatumia ushirikina kusambaratisha ndoa za watu.
  11. R

    Naombeni msaada ni jinsi gani nitaweza kuishi na mume anayeendeshwa na dada yake

    Yaani mama mkwe na mawifi unatakiwa ukae nao mbali waizoee life style yako ukijipendekeza ipo siku utalia hawa watu hawana fomula hasa ukute hawajaenda shule
  12. R

    Swali: Kwa wanandoa

    Mwanamke anafanya kazi na kipato chote anachokipata wanashirikiana na mumewe katika kuendesha familia. Je ni halali kuacha kuchangia chochote kwenye familia pale anapogundua kuwa mumewe ana mahusiano mengine nje (michepuko)?
  13. R

    Hakuna kidumucho milele-the law of impermanence

    Ahsante kwa ujumbe mzuri na ni somo linaloweza kutuondolea stress baadae manake ya kesho hatuyajui
  14. R

    Swali kwa wanandoa

    Ni sahihi pete ya ndoa kuvaliwa na mwanandoa mmoja? Je pale unapoona mwenzio havai au anaivua katika mazingira ya kutatanisha nini suluhisho? Michango tafadhali
  15. R

    Swali kwa wanandoa

    Ni sahihi pete ya ndoa kuvaliwa na mwanandoa mmoja?
Back
Top Bottom