Mleta mada unaonekana unachuki binafsi inayokusuma kujaribu kututazamisha kuwa UDSM hawapo makini katika mitihani. Nimesoma pale undergraduate na post graduate, suala la mitihani linachukuliwa kwa umakini mkubwa.
Eti mitihani inasahihishwa vyumbani na wanafunzi? Hiyo ni kejeli! Halafu kama...
Nadhani huna ujuzi wala maadili katika fani husika. Hivi madaktari wangekuwa wanaleta siri
za wagonjwa wao huku JF ingekuwaje? Tena ummeleza wazi kuwa mgonjwa aliongea nawe kwa faragha! Lool!
Tunaelekea pabaya sasa kama wasomi wanakuja kuomba title za research jamvini!
Lol hicho Chuo hakina library? Inathibiti kuwa mleta mada hana urafiki na library kabisaaaa!
Hiyo inatia mashaka sana msomi ndio atakuwa huyu kweli? Tena mwalimu mmmmh! Ndio
maana ubora wa elimu yetu unashuka!
Mhh Yaani umeona hiyo ni issue hasa ya kupost jamvini? Nina mashaka sana
na uwezo wako wa kufikiri. Kwa style hiyo hata library hujafikiria kwenda, na wewe
unajiita msomi uko Chuo. Usituharibie jukwaa- Rubbish!!!!!!
Mada nyingine! Unaomba uambiwe madhara yatakayo kupata wewe, na
siyo madhara kwa hao ma girl friend. Unaonekana mbinafsi! Mada inaonekana
kama ya kutunga. Pia unajiamiiiiiini sana eti mmepima. Jiulize mpo wangapi
Kwenye hiyo network?. Lol kumbe elimu khs UKIMWI bado haijatosha!
Wote wanasema ukweli kulingana na walivyoelezwa na wazazi wao.
Tukija kwenye hoja, ile ya mtoto wa kike(toka kwa mama) ina mashiko imetumia lugha ya picha.
Huo mgodi ukichimbwa patatoka watoto. Hivyo ajitunze.
Hoja ya mtoto wa kiume (toka kwa baba)mmh naona itamchanganya boi atakua akijua fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.