wote wamesema ukweli, aliesema ni gold mine amepatia na ka boy kamepatia kakija kusomea uchumi kataelewa zaidi maanake kwenye Mgodi ili tutoe dhahabu tunahitaji investment(ndo hapo katoto kanasema baba'ake anasema hela yote huenda huko)
Wote wanasema ukweli kulingana na walivyoelezwa na wazazi wao.
Tukija kwenye hoja, ile ya mtoto wa kike(toka kwa mama) ina mashiko imetumia lugha ya picha.
Huo mgodi ukichimbwa patatoka watoto. Hivyo ajitunze.
Hoja ya mtoto wa kiume (toka kwa baba)mmh naona itamchanganya boi atakua akijua fedha lazima
ziishie kwenye mgodi! Twajua maji yafuata mkondo, ataiga kwa baba. Lol mfano mbaya!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.