Yupi anayesema ukweli kati ya hawa watoto?

Kibirizi

JF-Expert Member
Feb 19, 2011
604
146
Naomba jibu nani mkweli hapa?
Baba Vs Mama.jpg
 
uyo wa kiume ndo anasema ukweli, kwani uyo wakike huo mgodi atachimba mwenyewe??
 
Ka-boy kameoneshwa mgodi...na kenyewe kataanza kupiga maesabu ya kupata madini ya humo ndani lo!!
 
wote wamesema ukweli, aliesema ni gold mine amepatia na ka boy kamepatia kakija kusomea uchumi kataelewa zaidi maanake kwenye Mgodi ili tutoe dhahabu tunahitaji investment(ndo hapo katoto kanasema baba'ake anasema hela yote huenda huko)
 
Wote wanasema ukweli kulingana na walivyoelezwa na wazazi wao.
Tukija kwenye hoja, ile ya mtoto wa kike(toka kwa mama) ina mashiko imetumia lugha ya picha.
Huo mgodi ukichimbwa patatoka watoto. Hivyo ajitunze.
Hoja ya mtoto wa kiume (toka kwa baba)mmh naona itamchanganya boi atakua akijua fedha lazima
ziishie kwenye mgodi! Twajua maji yafuata mkondo, ataiga kwa baba. Lol mfano mbaya!!!
 
Back
Top Bottom