Ndo hvo hakuna kusafiri kiholela, huku Ofsini kazi unamuachia nani? Au ndo ile kupiga kibunda afu unajifanya kusafiri Nje? Na huko Nje unafanya kwa Maslahi ya nani? Huoni kwamba huo mwanya waweza kutumika kumshawishi Mlipiwa na hatimaye kuingiza Taifa katika Mikataba mibovu inayowabeba...
Mbona hujaenda Mahakamani kumshtaki kama unamtuhumu kwa hayo? Mahakama si zipo kwa kazi hyo? Kwa hyo unalalamika hapa ili iweje sasa? Si alisema mwenyewe mwenye Ushahidi aende Mahakamani? Kama hukumskia ndo nshakwambia leo sasa asubuh wahi Kisutu pale kama upo Dar..
Nyomi wapi kaka angalia picha vizuri waliokaa mbele karibu na jukwaa ndo wenye Sare tu hao waliobakia kule nyuma ni watu baki waliotawala mambo yao stand na Sokoni pale, hawa wavaa Sare mama anatembea nao kwa Mabasi pia wanaandaliwa viti ili wachukue eneo kubwa sio ile style ya kusimama wima...
Mkuu afu ujue nlishangaa imekuaje hawakwenda kufanyia Mkutano pale Sheik Amri Abed uwanja wa mpira ule ambao wanaumiliki wao ccm, kwa kua walijua hawatapata Umati wakaamua kufwata watu kwenye lango la Soko (Kilombero) uwanja wa stand ya daladala, pikipiki na Tax kisha kufunga mageti ya soko eti...
Lowassa kutokuvaa Gwanda wala sio tatizo, yule anagombea kuwakikisha Vyama zaidi ya vitatu sasa kuna sababu gani ya kuvaa Vazi la Chama kimoja? Hata hvyo ni Mkakati tu wa kupata kura nyingi hata za Waliopo ccm.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.