Mkuu hapo cha msingi na namna ya kuweka sawa mahesabu yako kutokana na kipato chako , na mshirikishe mke wako ila kuwa makini unapompa tarifa hizo huwezijua atazipokeaje....!
Tumia hiyo akili iliyokufanya ushituke ila busara ziwe nyingi kwenye kubadili hayo mazoea uliyokuwa umeyaweka
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.