Recent content by Ruach

  1. R

    JamiiForums Tanzania Tanganyika imerudi

    A) Ndiyo Tanganyika huru irudi Yehoshua Hamochiah
  2. R

    JamiiForums Tanzania Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Tanganyika isiyo na mwenge, Tanganyiika isiyo na mafisadi, Ttanganyika isiyo na sheria za kutambua ndoa ya jinsia moja, Tanganyika isiyoruhusu utoaji mba, Kokote ulikofichwa, nakuamuru Kwa Jina la Yesu Njoooooooo!! Sikia sauti ya Bwana kwa jina la Yesu njooo njoooo njooo njoooooooo Haleluya...
  3. R

    JamiiForums Tanzania Zanzibar siyo NCHI - Jawabu ni A siyo B au C...

    Njoooo kwa jina la Yesu Kristo. Wote wasiyo taka Tanganyika wapigwe na malaika wa Bbwana. Hoja zao zikosse mashiko mbele ya wanaossikia. Tanganyika njoo njoooooo kwa. Jina la Yesu. Majeshi ya Bwana. Yehoshua Hamochiah
  4. R

    JamiiForums Tanzania The word of the night and day, morning and evening, midnight and noon.

    FATHER, I WANTED A CAR, NOT A BIBLE A young man was getting ready to graduate from college. For many months he had admired a beautiful sports car in a dealers showroom, and knowing his father could well afford it, he told him that was all he wanted. As Graduation Day approached, the young man...
  5. R

    JamiiForums Tanzania Airtel wanyoosha mikono juu

    Ndugu mmoja alitoa Tsh120000 mmchana wa leo 18/02/2014 akakatwa 13000. Yehoshua Hamochiah
  6. R

    JamiiForums Tanzania Airtel wanyoosha mikono juu

    Sasa ni HATOKI MTU HAPA.Nusu gharama ukitoa Pesa. Afadhali LIPA HAPA KWA TIGO PESA Yehoshua Hamochiah
  7. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Valentines's Day: Asili na historia yake hadi kusisimua Ulimwengu

    Siku ya valentine ni kila mwezi wa pili ambapo watu hudhihirisha mvuto na haiba za mapenzi kwa kila mmoja kwa kupeana kadi na zawadi. Sherehe hii chanzo chake ni mambo ya dini za kirumi. Lupercalia ni sherehe iliyoadhimishwa na Warumi wa zamani kila mwezi wa pili tarehe kumi na tano. Lengo...
  8. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Valentine day

    Siku ya valentine ni kila mwezi wa pili ambapo watu hudhihirisha mvuto na haiba za mapenzi kwa kila mmoja kwa kupeana kadi na zawadi. Sherehe hii chanzo chake ni mambo ya dini za kirumi. Lupercalia ni sherehe iliyoadhimishwa na Warumi wa zamani kila mwezi wa pili tarehe kumi na tano. Lengo...
  9. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chanzo cha sikukuu ya Valentini

    Mcha Mungu wa kweli hawezi kusheherekea sikukuu hii maana chanzo chake ni miungu na mizimu ya kizungu. Mungu atusaidie ili wengi wawe na ufahamu. Warumi12:2-Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya...
  10. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Chanzo cha sikukuu ya Valentini

    Siku ya valentine ni kila mwezi wa pili ambapo watu hudhihirisha mvuto na haiba za mapenzi kwa kila mmoja kwa kupeana kadi na zawadi. Sherehe hii chanzo chake ni mambo ya dini za kirumi. Lupercalia ni sherehe iliyoadhimishwa na Warumi wa zamani kila mwezi wa pili tarehe kumi na tano. Lengo...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha sikukuu ya Valentini

    Siku ya valentine ni kila mwezi wa pili ambapo watu hudhihirisha mvuto na haiba za mapenzi kwa kila mmoja kwa kupeana kadi na zawadi. Sherehe hii chanzo chake ni mambo ya dini za kirumi. Lupercalia ni sherehe iliyoadhimishwa na Warumi wa zamani kila mwezi wa pili tarehe kumi na tano. Lengo...
  12. R

    JamiiForums Tanzania The origin of valentine's day

    Valentine's day in february, is when people affection and romantic interest in each other. By exchanging cards and gifts. This charming custom had its origin in Roman religious practices. The Lupercalia was a holiday celebrated by ancient Romans on February 15th. Its purpose was to honour the...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Uvumi wa nabii suguye kulishwa sumu.

    Nabii anaabudu ktk siku ya jua SUNDAY?. haita tokea. Mpu.mba.vu. tu huyo Kuna wale wengine wanaoabudu siku ya Sat-an day Du! Yehoshua Hamochiah
  14. R

    JamiiForums Tanzania Uvumi wa nabii suguye kulishwa sumu.

    Wengine wanasema eti Yesu Kristo alipokuja alifunga ofisi ya Unabii na pia baadae ya utume na unabii ibakia karama tu ambayo kila mwamini anayo, Nikajiuliza kama ilifungwa vip kuhusu nabii Yohana aliyeandika kitabu cha Ufunuo? Je vipi kina nabii Agaba katika matendo ya mitume?
  15. R

    JamiiForums Tanzania Uvumi wa nabii suguye kulishwa sumu.

    Cruel mpole usije ukawa kati ya wale wasiyo na baadae kwenda kupiga magoti kuomba msamaha. Kwani Mungu akimuita mtu kuwa nabii huwa anakuja kukuomba ushauri? Unatumia vigezo gani kuupinga unabii wake? Isije kukupata yaliyowapata Miriam na Haruni Yehoshua Hamochiah
Back
Top Bottom