Eti Nabii Suguye!kama yeye ni nabii kwann asingejiepusha na janga hilo?yeye anakipawa cha kutabiri mambo yajayo,kwan hakuliona hili?MWIZI MKUBWA!
Chanzo gazeti la uwazi
Wakuu kuna uvumi unaodai kwamba nabii suguye kalishwa sumu.
Habari nimeiona gazeti la uwazi japo huwa siamini habari za sensational newspapers ila nilitaka kujua zaidi kama kuna eye witness.
Yehoshua Hamochiah
Kwa karne hii tuliyonayo hakuna nabii yeyote hapa Duniani, hao ni wachungaji tu
Kwa karne hii tuliyonayo hakuna nabii yeyote hapa Duniani, hao ni wachungaji tu
Cruel mpole usije ukawa kati ya wale wasiyo na baadae kwenda kupiga magoti kuomba msamaha.
Kwani Mungu akimuita mtu kuwa nabii huwa anakuja kukuomba ushauri? Unatumia vigezo gani kuupinga unabii wake?
Isije kukupata yaliyowapata Miriam na Haruni
Yehoshua Hamochiah
Na unajuaje kuwa kaitwa na Mungu.!?? mtahukumiwa kwa kumsingizia Mungu.