Recent content by RUA NEENY

  1. R

    Dawa za Kulevya: Freeman Mbowe akamatwa na Polisi; ahojiwa na kuachiwa

    Usishangae hata wwwe ukatiwa mbaroni kwa kosa ka madawa ya kulevya. Ona anchokishuhudia wazir wa katiba na sheria dr Mwakyembe kuhusu kijana aliehukumiwa kwa kes tofaut na yeye akishuhudia akibadilishiwa wizara juu kwa ju.
  2. R

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Na pia kujua nimikoa ip inafaa haswa kwa kilimo vha vitunguu. Au ni ardh yeyote inafaa? Almrad pawepo na maji au mvua?
  3. R

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Jamani habarini. Huu mjadala nimeupenda sana unaonekana kua mzur sana kwangu naomba uendelee haswa kwa kujibiwa ni mwez gani ambao nikivuna nakuta gunia liko juu?
  4. R

    MBEYA: Walimu warekodiwa Video, wakimfanyia unyama Mwanafunzi

    Inashangaza sana tena inasikitisha mmno kunabaadhi ya watu wanasema ati yule hakua mwanafunzi ni mtutuu amevalia uniform kusudi awawin wanafunzi kimapenzi hatakama sio mwanafunzi sini police case hiyo? Kwanini wasingempeleka police kwa uchunguzi zaidi? Kama sio mwanafunzi upelelezi wa...
  5. R

    Man who jumped off Mabirizi complex is dead

    kazi ya Mungu ni pale alipomuacha ayasikie keanza maumivu ya kujirusha kwake kabla ya kifo hivyo naimani maumivu yalimfanya ajuuuuute kujirusha na si ajabu alikua akisema sirudii tena ujinga wangu. Kwani wanawake waliisha duniani angrenda hapo kwa kagame akajichagulia cha ukweli akaja...
  6. R

    Mwigulu Nchemba ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Tizeba apelekwa Kilimo na Mifugo

    Kaka kapige kazi. Hakuna Lugumi wala mangumi.misimamo yako tuu. Kawasaidie secdo wanapata tabu sana. Wanapigwa mabao hadi huruma. Njoo bukoba ujionee.hata usipokuja wewe undaga katim kako kasambaze mikoani utapata majibu Hawa secdo wakirudi mtaani watatuchinjachinja sana. Yaani nikiama. Kaka...
  7. R

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Sio kweli labda uchunguzi wwenu mliufanya kwakuzingatia eneo moja tu. Pia jaribu kuulizia tofaut ya umri kati yamume na mke wa hao ulofanyia utafiti utagundua kua utofaut wa maiaka ndo unapelekea yule ambae ni mzee zaidi kwa uri anatangulia kufariki. Na ili uende sawa na mkeo lazima uoe ambae...
Back
Top Bottom