Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,801
Labla kupatwa kwa juasijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
Labla kupatwa kwa juasijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
sawamhhh usiniombee nivae huu uhusika mimi siwezi kujinyonga iwe kwa lolote maisha matamu
Superman? [emoji1][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji30]...aiseeh Sir God anawaona waliombatiza ilo jina la SUPERMANPic hii apa
Si wote.
Am a lady,
Sijawahi kusikia wala kuona akusomeshe mwanamke wao wanapenda kupewa tuKwani wanawake hawasomeshi?