Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,792
Labla kupatwa kwa juasijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
Labla kupatwa kwa juasijui kwa hili tukio tutasema ni kazi ya Mungu haina makosa au tusemeje!
️sawamhhh usiniombee nivae huu uhusika mimi siwezi kujinyonga iwe kwa lolote maisha matamu
Superman?Pic hii apa





...aiseeh Sir God anawaona waliombatiza ilo jina la SUPERMANSi wote.
Am a lady,
Sijawahi kusikia wala kuona akusomeshe mwanamke wao wanapenda kupewa tuKwani wanawake hawasomeshi?