Uvccm ni majizi makubwa..mna scandal za igumbilo iringa, mwenyekiti wa chama amewanyookea wizi makao makuu, bado zanzibar na kinondoni...sabaya umewagusa pabaya hao walanguzi ila itathibitika mda sio mrefu..tengenezeaneni scandal mfie mbele ila kwa kuwataja wezi amekua jasiri sana.
Dc Gambo piga kazi brother..asikuyumbishe yeyote wala haya maneno ya ealioshindwa kazi na vibaraka wao..hakuna swali hapa ukweli ni kwamba ume outshine kwa mda mfupi sana...na wanaotengeneza fitina hizi za akili fupi mda wao unahesabika...
Unaheshimika na vry soon wanaokuunga mkono utawaona...
Niwieni radhi Kama comment yangu kwa namna yoyote itawakwaza ama kuwaudhi ila nasema nachoamini, Kama ambavyo siamini kifo cha Osama Bin Laden pia siamini kuwa palitokea shambulio lolote La kigaidi either Brussels ama paris, wazungu wa ulaya magharibi wakishirikiana na wamarekani kwa muda sasa...
Hii salary slip ni jipu la aina gani?ni kwanini unapenda kuchangia mijadala ukiwa uchi lakini? Haujui muekano wako wa kisukule ni kama jini na linakuhamasisha kuandika haya????
Mpumbavu wewe unayewapa masifa wazungu waliokutawala.nakuita tena mpumbavu kwa kushabikia utumwa na ukibaraka,na huu upumbavu wako hautakuisha karibuni kwa kuwa umejipanga kuwatetea watu kwa rangi zao na kuwapa utukufu wa bandia !sasa nenda kalime mashamba yao ya ngano huko north carolina ama...
Nonsense,dk mpango alishindwa kuwasilisha mpango wa serkali ama uwasilishwaji wa mpango wenyewe ulikiuka kanuni?after all yeye sio mwanasiasa na kanuni za uwasilishwaji hupangwa na kuamuliwa na kamati ya uongozi ya bunge.daktari mpango hapa kosa lake nn?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.