Kuna wakuu wa wilaya wanatia huruma!

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,252
8,003
Kufuatia maneno ya Rais kwamba ameamua kuwaacha ili awapime kuna wakuu wa wilaya wanateseka sana, wanatia huruma, wamejawa hofu ya kukosa pa kuanzia kimaisha! Wengine wanapiga picha wamebeba mabox vichwani, wengine wanapiga picha wamevaa mabuti wako shamba!



Asante Dr Rutengwe kuusema ukweli wa ugumu waaisha mtaani, sasa ndio tumeshajua ni kwanini wakuu hawa wa wilaya wanateseka.
 
Kama huyo wa Iringa ni kilaza kweli. Kazi kuposti tu picha facebook
 
Kufuatia maneno ya Rais kwamba ameamua kuwaacha ili awapime kuna wakuu wa wilaya wanateseka sana, wanatia huruma, wamejawa hofu ya kukosa pa kuanzia kimaisha! Wengine wanapiga picha wamebeba mabox vichwani, wengine wanapiga picha wamevaa mabuti wako shamba!



Asante Dr Rutengwe kuusema ukweli wa ugumu waaisha mtaani, sasa ndio tumeshajua ni kwanini wakuu hawa wa wilaya wanateseka.
Mwaka huu tuatasikia wengi sana watapoteza maisha kwa Magonjwa ya Moyo.
 
Hahahah awamu hii inakuza sana wasanii, hata kina masanja wamekosa SOKO sasa hivi.... Kila siku tunaburudika na wasanii wa siasani.....
 
Kasesera bana ehehehe
 

Attachments

  • 1459205447180.jpg
    1459205447180.jpg
    31.5 KB · Views: 39
Yule wa Iringa juzi alipiga picha ANAMCHAMBISHA mtoto hospitali ya Iringa, wakabishana sana 'isitoke' na kweli 'haikutoka'!
 
...

....ha ha ha Mkuu tunasubiri VIWANDA
Si nasikia wameota ndoto nyingine tena? Eti wameota TZ itakuwa donor country kwa nchi za Europa!!!!

Ndoto ya viwanda haikuwa tamu... Hii ya sasa ni tamu zaidi....
 
Si nasikia wameota ndoto nyingine tena? Eti wameota TZ itakuwa donor country kwa nchi za Europa!!!!

Ndoto ya viwanda haikuwa tamu... Hii ya sasa ni tamu zaidi....
....

....ha ha ha wamechafuka majipu mwili mzima na kushindia viwavi
 
....

....ha ha ha wamechafuka majipu mwili mzima na kushindia viwavi
Teh teh teh wala viwavi wanaloa vumbi tu sasa. .. Kofia.... T-shirt na dera zimepauka mbaya kwakuzifanya mtoko wa kwendea kwenye matap tap!!!!
Wanaisoma namba juu na chini.....
 
Teh teh teh wala viwavi wanaloa vumbi tu sasa. .. Kofia.... T-shirt na dera zimepauka mbaya kwakuzifanya mtoko wa kwendea kwenye matap tap!!!!
Wanaisoma namba juu na chini.....
...

....wacha wapite kwenye Tanuru la ujinga kama wakitoboa watajifunza
 
Back
Top Bottom