Waziri Dr. Mpango asiyejua Mipango

Waziri Dr. Mpango asiyejua Mipango

uyu si ndie watu walikua wakikesha humu wakimwagia sifa?bado jpm muda si mrefu tutaanza kusikia yake
 
Waziri wa fedha Dr Pholipo Mpango leo kwa mara ya kwanza ameidhalilisha serikali kwa kutowasilisha mpango wa maendeleo wa serikali kwa miaka mitano.

Waziri huyu ambaye tunaaminishwa kuwa ni mchapa kazi ambaye hapo kabla alikuwa kamishna mkuu wa TRA.

Sijajua kama ni hujuma ndani ya ccm kumkomoa Magufuli na serikali yake, lakini kama si hovyo basi Magufuli hapa kalamba galasa.

Inawezekana vipi mtu ambaye unauzoefu wa muda mrefu katika masuala ya fedha alafu unashindwa kuleta mpango wa serikali kwa miaka mitano??
Inamana ulishindwa hata kuediti ile ya Kikwete?

Hakika naanza kushuhudia Kikosi cha Rais kikichoka kabla hata ya dak 45
Mtamkumbuka jk
 
Mkuu siumesema aliongoza Tume ya Mipango kisha TRA manake unamjua ndio maana nilitaka utuambie tusiomjua kama kuna chaMno aliacha huko alikokuwa
Kufahamu kuwa alikuwa huko akunipi uwezo wa kujua unachokitaka. Tume ya mipango ameiongoza karibu kipindi chote cha awamu ya nne na kwa hakika ilikuwa ikitoa mipango amabayo serikali na bunge waliitumia kupanga na kutekeleza maendeleo ya nchi hii.
 
watz bana...wengi ht mpango wa mwezi tu hawana afu wanataka waziri ambae hana ht miezi miwili wizarani awe na mpango wa miaka 5...ndo mana hua tunapewa mipango hewa...tunataka mambo mengi sana kwa wakati mmoja...give the man a time to plan sio tu mkurupushe aje na mpango wa kuturizisha ila usiotekelezeka...
 
Kukosea ni kawaida vitu vidogo kama ivyo yeye si malaika ,na sio kigezo cha kusema waziri uwezo wake ni mdogo,mbona aliposimamia ukusanyaji wa kodi miezi iliopita mpaka akavuka malengo wakati anakaimu ukamishina wa TRA hawajamsifu?Kakosea kidogo tu anaonekana ni kilaza bungeni kanakwamba ameingiza serikali hasara.Kuwasilisha mipango ya maendeleo ya serikali iwe mwaka moja miaka 5,miaka 10 kwakufuata kanuni na sheria za bunge kama mipango iyo haitekelezeki haina tija kwa wananchi.Ushabiki wa vyama tuweke pembeni tujenge nchi yetu.

Msitufanye wajinga humu
Huyo DK mipango kaka TRA siku 24 tu
na kabla hajafika yeye makusanyo ya TRA yalishavuka trilioni 1...
hakuna kipya alichokifanya TRA....
aliikuta na aliiacha kama ilivyo
 
Kukosea ni kawaida vitu vidogo kama ivyo yeye si malaika ,na sio kigezo cha kusema waziri uwezo wake ni mdogo,mbona aliposimamia ukusanyaji wa kodi miezi iliopita mpaka akavuka malengo wakati anakaimu ukamishina wa TRA hawajamsifu?Kakosea kidogo tu anaonekana ni kilaza bungeni kanakwamba ameingiza serikali hasara.Kuwasilisha mipango ya maendeleo ya serikali iwe mwaka moja miaka 5,miaka 10 kwakufuata kanuni na sheria za bunge kama mipango iyo haitekelezeki haina tija kwa wananchi.Ushabiki wa vyama tuweke pembeni tujenge nchi yetu.
Unaelewa maana ya vitu vidogo lakini? au kwa sababu unajua kusoma na kuandika ndio unaandika chochote?
 
Magufuli alimsahau elite wa zamani na mshauri wa mkapa dr chami


Chami is past his due date; wamuache auguze machungu yake huko kijijini kwao na Mungu akimjalia akipata afueni aungane na ndugu zake huko Chadema!!
 
Nonsense,dk mpango alishindwa kuwasilisha mpango wa serkali ama uwasilishwaji wa mpango wenyewe ulikiuka kanuni?after all yeye sio mwanasiasa na kanuni za uwasilishwaji hupangwa na kuamuliwa na kamati ya uongozi ya bunge.daktari mpango hapa kosa lake nn?
 
Alipanga nini huko kwenye tume ya mipango,mbona kila kitu awamu iliyopita ilikua km hakuna kilichopangwa.
 
kwani huo mpango ulikua ni wake binafsi mpaka akae wizarani muda mrefu au ulikua ni mpango wa serikali, na serikali imeingia madarakani tangia October mwaka jana.
Na hao walio weka kanuni hawajui kama waziri anaweza kuwa mpaya?
Hakuna hoja tumewazoea kwa ubabaishaji walidhani wabunge wote hawajui walichotaka kukifanya.
 
I do not get your argument in details...do we mean that Finance Minister is now Speaker of our Parliament? Who is supposed to check if regulations are met? I would argue for the opposite. Had the budget direction being unprofessional then the ministry was to be blamed but for improper presentation of right materials...whose problem? Kashilila et al coz that is supposed to be their work
 
Napata shida kuamini Kama DR Mpango anaweza kuleta mwelekeo wa Mpango badala ya Mpango Wenyewe.Kwanza Sijui Kama wengi wetu tunaweza kutofautisha dhana hizi mbili au ni bendera fuata upepo!Wajuzi wa mambo ya uchumi na mipango tunaomba dadavua kwa manufaa ya wengi wetu hasa ambao tunashabikia tu bila hata kujua undani wake.
 
Waziri wa fedha Dr Pholipo Mpango leo kwa mara ya kwanza ameidhalilisha serikali kwa kutowasilisha mpango wa maendeleo wa serikali kwa miaka mitano.

Waziri huyu ambaye tunaaminishwa kuwa ni mchapa kazi ambaye hapo kabla alikuwa kamishna mkuu wa TRA.

Sijajua kama ni hujuma ndani ya ccm kumkomoa Magufuli na serikali yake, lakini kama si hovyo basi Magufuli hapa kalamba galasa.

Inawezekana vipi mtu ambaye unauzoefu wa muda mrefu katika masuala ya fedha alafu unashindwa kuleta mpango wa serikali kwa miaka mitano??
Inamana ulishindwa hata kuediti ile ya Kikwete?

Hakika naanza kushuhudia Kikosi cha Rais kikichoka kabla hata ya dak 45
Weweeeee acha kutema big G kwa maneno ya kusikika na kumchafulia Dr Mpango - Huyu ni JEMBE hasa, hawa ndio wachumi wachache watakaoivusha Tanzania kutoka katika dibwi tuliloingizwa kipindi cha miaka 10 iliopita.... Usiweke ushabiki wa chama mbele bila msingi wa kuionea uchungu nchi yako. Hili jembe hakika ni chaguo chanya kama alivyo Dr JPM mwenyewe, wewe kaa uangalie, kwanza katafute mahojiano ya Dr Mpango na TBC leo asubuhi ndipo uone cheche zake. ambazo amezitema, mpango mzima kauelezea toka kichwani bila kusoma wala kuangalia popote.... Acheni hizo kuweni wazalendo na nchi yenu...tafiti habari yako kwanza kabla ye kuirusha kwa jamiii
 
Pamoja na kumponda hivyo kumbuka ndiye aliyekuwa akiongoza tume ya mipango wakati waJK na kabla ajapelekwa TRA kisha wizara ya fedha na JPM
JK kafanya nini nchini?

Kumbe yeye alihusika kulipoteza taifaa hiviiii
 
Hii mada imejaa mihemko ya kisiasa kuliko hata maelezo ya kitaalamu na kikanuni.....
Kuna watu wanaangalia makosa tu ilimradi wapate pa kulaumu na kuonyesha uhodari wa kuponda na kutukana kana kwamba wao kwenye profesheni zao hawajawahi kukosea.......hulka yao ya kulaumu inawafanya wasione hata mazuri ya mtu.......ninachowakumbusha ndugu zangu ni kwamba nyakati za malumbano ya kisiasa zimeshapita, sasa malumbano yetu yaelekezwe katika kujenga taifa letu na sio kulibomoa.......

Michango ya wadau wengi humu haipo kwenye kujenga bali ni kama watu waliokuwa wametegesha vinywa vyao ili kuona kuwa waziri atakosea wapi ili wapate kwa kukosoa na kibaya zaidi kosoa yao haipo kwenye kuweka mambo sawa......hii ndio vijana wanaita nitoke vipi...

Kwanini tusiwaige wenzetu wa nchi zingine...
Wamefikia hapo tunapotamani kuwapo kwa kuwa makini yanapokuja maswala yao ya kitaifa.......ambao mara nyingine hufikia hata kupigana ngumi kwenye mijadala ya kitaifa kwa maslahi ya taifa na sio vyama......

Ifikie mahali watanzania tubadilike tusome alama za nyakati....huu ni wakati wa kujenga taifa kwa manufaa ya sasa na vizazi vyetu vijavyo na sio muda wa kuonyesha kukosoa hata katika mambo yenye manufaa kwa taifa kwa kuwa tu aliyelufanya au kuliwasilisha ni mpinzani wako kisiasa........

PAMOJA TUNAWEZA....TANZANIA KWANZA...
 
Hii mada imejaa mihemko ya kisiasa kuliko hata maelezo ya kitaalamu na kikanuni.....
Kuna watu wanaangalia makosa tu ilimradi wapate pa kulaumu na kuonyesha uhodari wa kuponda na kutukana kana kwamba wao kwenye profesheni zao hawajawahi kukosea.......hulka yao ya kulaumu inawafanya wasione hata mazuri ya mtu.......ninachowakumbusha ndugu zangu ni kwamba nyakati za malumbano ya kisiasa zimeshapita, sasa malumbano yetu yaelekezwe katika kujenga taifa letu na sio kulibomoa.......

Michango ya wadau wengi humu haipo kwenye kujenga bali ni kama watu waliokuwa wametegesha vinywa vyao ili kuona kuwa waziri atakosea wapi ili wapate kwa kukosoa na kibaya zaidi kosoa yao haipo kwenye kuweka mambo sawa......hii ndio vijana wanaita nitoke vipi...

Kwanini tusiwaige wenzetu wa nchi zingine...
Wamefikia hapo tunapotamani kuwapo kwa kuwa makini yanapokuja maswala yao ya kitaifa.......ambao mara nyingine hufikia hata kupigana ngumi kwenye mijadala ya kitaifa kwa maslahi ya taifa na sio vyama......

Ifikie mahali watanzania tubadilike tusome alama za nyakati....huu ni wakati wa kujenga taifa kwa manufaa ya sasa na vizazi vyetu vijavyo na sio muda wa kuonyesha kukosoa hata katika mambo yenye manufaa kwa taifa kwa kuwa tu aliyelufanya au kuliwasilisha ni mpinzani wako kisiasa........

PAMOJA TUNAWEZA....TANZANIA KWANZA...
Wanapigana kwa mijadal ya kitaifa...nako huko kuna wanaosema au waliosema kama wewe. Kulaumu hao wanaopinga kuwa hawazingatii maslahi ya taifa. Ni mtazamo tu.
 
Back
Top Bottom