Ww ndio hujataka kuwaelewa ila kuna watu wanaamini kuwa Mungu ndio sisi ni kila chenye uhai ukiondoa umbonlake la mwili. Ondo hyo biashara ya mbinguni ni vitu vya kusadikika
Hi
Zo ni hadithi tu za kutungwa na wanadamu, ndio maana hata kule mnaposema alizaliwa hawamtambui , pia ikaanzishwa propaganda kuwa wao ni wakaidi. Hizi dini mipango ya mwanadamu tu hakuna Mungu anaweza kutuma kiumbe yeyote kwa ajili ya mwanadamu dhaifu kabisa.
Yaani Mungu akae miaka kibao...
Mwili usipoushughulisha lazima itakuramba sukari na pressure na hata figo hata kama haunywi energy na pombe. Ukiona ww ni mtu ambae kazi zako sio za kutoa jasho baada ya kutumia nguvu nyingi basi energy na pombe viepuke kabisa.
Energy sio shida kwa mtu anaefanya kazi za nguvu acha kukariri, pia pombe ikikutawala ndio shida ilankama mtu anakunywa kiasi inashida gani? Sema kila mitu kiwe kwa kiasi kisizidi
Mungu ni roho ambayo ndio uhai uliopo kwenye kila kiumbe chenye uhai kama vile binadamu, wanyama, wadudu, miti, mimea n.k. watu hawamtaki Mungu hasa wa kwenye dini za kuletwa maana anasimuliwa kwa sifa za mwanadamu. Unapo sema Mungu kasema inamaana Mungu anaongea na ana mdomo.
Ni gari nzuri sana japo sio ngumu kama zile za zamani, ila ukitunza body ni gari nzuri sana ina injini ya 3zr ambayo unaipata hata kwenye toyota wish kuanzia 2007 hadi 2013 japo sio zote, ni economy sana kulinganisha na zile noah za nyuma yake pia ni CVT gearbox, kama unaitaka usiiache utakuja...
Cha kwanza hapo nunua plug Og funga kwa hatua ya kwanza, maana kwa maelezo yako hapo hapo haihusiani na main na corn, maana main na corn ikilia hulia moja kwa moja
Yaan abadilike yy kana kwamba yy ndio kaolewa? Cha msingi hapo ni kupiga chini tu. Mm ni mhanga zaidi hata ya uliyosimulia, ni single mother wachache sana wenye shukuran. Mkuu furaha yako ni muhimu kuliko yake, ndio maana wanaume tunakufa mapema kwa kuvumilia watu wasio na mapenzi kwetu.
W nae avha mihemko ya kizuzu, unaongea mambo dhaifu sana, mzungu akuletee msaada wa lishe hali ya kuwa bado anakuita nyani? Sisi bado tupo nyuma masana, hatuwezi kubaini vitu vyenye madhara ya muda mrefu, hata huo mchele unamadhara ya muda mrefu ndio maana wamewalenga wanafunzi ili mika mitano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.