Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Mambo 10 yanayothibitisha kwamba Mungu yupo

Wapo wasioamini. Wanajulikana kama "Atheists." Hata humu wamo, ndio hao wanaotaka uthibitisho. Ukienda Japan, China, North Korea, utawakuta Atheists wengi.
Ww ndio hujataka kuwaelewa ila kuna watu wanaamini kuwa Mungu ndio sisi ni kila chenye uhai ukiondoa umbonlake la mwili. Ondo hyo biashara ya mbinguni ni vitu vya kusadikika
 
Sikuchoshi ila ndivyo mnavyo sound hata nyie
Unanichosha hebu fikiria umetoa tu mfano na ukajenga swali kupitia huo mfano ila ajabu umesahau na kugeuza huo mfano kuwa jambo la kweli, unanilisha maneno yani ni kunichosha kwa kweli.
 
Unanichosha hebu fikiria umetoa tu mfano na ukajenga swali kupitia huo mfano ila ajabu umesahau na kugeuza huo mfano kuwa jambo la kweli, unanilisha maneno yani ni kunichosha kwa kweli.
Nani alikuambia mfano hauwezi kuwa jambo la kweli?
 
Sasa mie nilikuomba uthibitisho kwenye huo mfano wako?
Uliomba kwenye ile nukuu niliyoitoa kwenye kitabu.

Ambapo mimi niliona nukuu ile ilikuwa tayari imejitisheleza kusimama kama uthibitisho.

Nilipoona unasisitiza nikupe uthibitisho ndio nikaona nikuulize huo uthibitisho unaoutaka unafananaje?

Ndio tukawa tumeishia hapo.
 
Uliomba kwenye ile nukuu niliyoitoa kwenye kitabu.

Ambapo mimi niliona nukuu ile ilikuwa tayari imejitisheleza kusimama kama uthibitisho.

Nilipoona unasisitiza nikupe uthibitisho ndio nikaona nikuulize huo uthibitisho unaoutaka unafananaje?

Ndio tukawa tumeishia hapo.
Unaweza kuniambia hayo mambo ya teapot yalikujaje?
 
Nauliza habari za teapot ziliingiaje katika mada tuliyokuwa tukijadiliana hapo mwanzo?
Anhaa ni pale ulipokuwa ukisema Atheists wanataka uthibitisho unaofananaje.

Ndio nikaja na huo mfano wa hayo madai kuhusu teapot.

Halafu namimi nikakuuliza unahitaji uthibitisho unaofananaje ili ukubaliane na hiyo stori.

Ndio tukawa tumefikia hapa tulipo.
 
Anhaa ni pale ulipokuwa ukisema Atheists wanataka uthibitisho unaofananaje.

Ndio nikaja na huo mfano wa hayo madai kuhusu teapot.

Halafu namimi nikakuuliza unahitaji uthibitisho unaofananaje ili ukubaliane na hiyo stori.

Ndio tukawa tumefikia hapa tulipo.
Ulitaka kueleza nini au nielewa nini kupitia huo mfano?
 
Ndio maana nikakwambia hujui hata uthibitisho una kazi gani. Kwahiyo mimi kusema Mungu yupo halafu nikashindwa kuthibitisha ndio inakuwa uthibitisho kwako kuwa hakuna Mungu?
Umewezaje kujua Mungu yupo halafu huwezi kuthibitisha?
 
Ulitaka kueleza nini au nielewa nini kupitia huo mfano?
Kwani mpaka hapa unafikiri kwa upande wako ni jambo rahisi wewe kutoa aina ya uthibitisho unaoutaka katika yale madai niliyokupa ili nijue huo uthibitisho unafananaje?
 
Ukisema Mungu yupo ukashindwa kuthibitisha uwepo wake, Ni kwamba Mungu hayupo.

Sasa wewe umeshindwa kuthibitisha Mungu yupo, Halafu bado unakataa kwamba hayupo!!

Sasa unataka nini?
Kumthibitisha Mungu kwa maandishi ni sawa na kumtaka mtu akuthibitishie hasira kwa njia ya maandishi.

Kuna baadhi ya vitu/mambo, huthibitika through experience pekee.
 
Umewezaje kujua Mungu yupo halafu huwezi kuthibitisha?
Ndio tunarudia yaleyale nakwambia kuwa kujua na uthibitisho ni vitu viwili tofauti, sasa ukiniambia nimewezaje kujua bila kuwa na uthibitisho unanishangaza.
 
Kwani mpaka hapa unafikiri kwa upande wako ni jambo rahisi wewe kutoa aina ya uthibitisho unaoutaka katika yale madai niliyokupa ili nijue huo uthibitisho unafananaje?
Duh! Usiku mwema.
 
Ndio tunarudia yaleyale nakwambia kuwa kujua na uthibitisho ni vitu viwili tofauti, sasa ukiniambia nimewezaje kujua bila kuwa na uthibitisho unanishangaza.
Unasema unajua kwamba Mungu yupo, Haya muoneshe huyo Mungu yupoje.
 
Kumthibitisha Mungu kwa maandishi ni sawa na kumtaka mtu akuthibitishie hasira kwa njia ya maandishi.

Kuna baadhi ya vitu/mambo, huthibitika through experience pekee.
Hasira inapimika na kujulikana ipo.

Mtu akiwa na hasira unaweza kupima na kujua kwamba mtu fulani ana hasira.

Lakini Mungu hayupo kwa namna yoyote ile.
 
Back
Top Bottom