RTA haisemi kwamba askari azuie gari kwa kosa la dereva (hapa sizungumzii kwamba gari ni bovu au limehusika katika ajali).
Pengine wanatumia sheria nyingine au utashi wa askari husika, ila kumlazimisha dereva kutekeleza jambo fulani. Kuna mazingira hata dereva mwenyewe anaweza kuzuiliwa.
Sent...
Sheria yetu ya usalama barabarani (Road Traffic Act, 1973) hailazilimishi dereva kusimama bila uwepo wa mvukaji. Sheria inamtaka dereva kusimama endapo kuna mwenda kwa miguu anataka kuvuka.
Hata hivyo kuna baadhi ya vivuko vya waenda kwa miguu vyenye alama au mchoro unaosomeka "STOP', hapa ni...
Picha ya eneo moja haitoshi kutoa hitimisho la kumfukuza mtu kazi.
Pengine walipaswa kuweka lami ya kushikanisha tabaka la chini ya hivyo vituta.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili kufanya ulinganifu wa haki yabidi kujiuliza maswali haya kuhusu vipimo.
1. Bati unazotaka kununua zina vipimo gani kwa upana na urefu? Huwezi kufanananisha bei bila kujua upana kwa mfano kuna za upana halisi (effective width) 75cm, 80cm, 90cm nk.
2. Unene wa bati l; geji 26, 28, 30,32...
Pole sana.
Vipi unaonaje hali yake kiuchumi? Ni mtu anayemudu kulipa ila hataki tu? Kuna wengine ni sawa na kuidai maiti.
Kama ana uwezo ila hataki, nenda kwa yule mlipaji wako muelezee hali ilivyo, muombe aje kudai kwa kisingizio wewe hutambui kama alimpa dada yako.
Umeandika vema.
Naona watu wengi wanaandika kwa hisia sana.
Feminists wanamhukumu kabisa mwalim Jimmy bila hata kujua anafananaje na kumsikia.
Ukimsikiliza binti kuna maswali mengi kwenye mlolongo wa maelezo yake. Kuanzia kuwa bwenini, kutoroka shule, kutokwenda nyumbani, nk
Ili kutenda haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.