Nilikutana na dereva wa pikipiki za gurudumu tatu 'bajaji', hawa wa mtandao, ameingia kituoni akawa anawasiliana na abiria, wakamkamata na kumtoza 80k!
Unawauliza kuna mtu anapaki na kuacha gari bila kufunga? Au dereva akiwa ndani ya gari?
Na hiyo kusema uwashe taa za tahadhari, huwa wanaweza...
Binafsi yalinikuta haya, wiki mbili nyuma. Nilikua nanunua maji dukani kugeuka washafunga gari kwa nyororo!
Ukifika kule ofisini kwao (Karibu na kituo cha polisi Mawasiliano) wanakuambia ukitaka kulipa kwa control number lazima uwe na nakala ya leseni na namba ya utambulisho wa mlipakodi...
Hujaelewa tu swali langu, inapaswa kuwa chochote kinachoathiri watoto kiwe wizara yake.
Nimeuliza kama kuna sera inataka ukaguzi au uthibiti wa miundombinu ya shule na sehemu zinazokusanya watoto.
Mhe. Waziri nakusalimu. Pongezi kwako na wizara yako kwa kufuatilia mambo yanahusu wizara yako.
Nina swali, hivi kama ilivyo miongozo ya usalama kwenye miundombinu ya umma na binafsi, kuna muongozo unahusu usalama wa watoto? Mfano kuna mipngozo ya OSHA na moto.
Kwamba vitu kama mabweni na...
RTA haisemi kwamba askari azuie gari kwa kosa la dereva (hapa sizungumzii kwamba gari ni bovu au limehusika katika ajali).
Pengine wanatumia sheria nyingine au utashi wa askari husika, ila kumlazimisha dereva kutekeleza jambo fulani. Kuna mazingira hata dereva mwenyewe anaweza kuzuiliwa.
Sent...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.