Hivi Upinzani ulitegemea utatoboa kwenye hizi chaguzi teh teh! Kazi wanayo mijitu gani mnaipigia kura baada ya wiki wanahamia sisiem! waendelee tu kulia lia maana hawana jipya zaidi ya kumwaga damu za watu.
Kufanya na kutokufanya kunategemea na maamuzi yake mie nimetoa maoni yangu si lazima afanye,alafu watu kama nyie ndo mnamtia upepo huyu dogo mkiambiwe mkaungane naye mnaanza kulia lia wanafiki wakubwa nyie,mwambie na ndugu yako basi afanye uharakati kama zama hizi kama waona ni salama mfyuu
Ushasema nyerenye!na siku zote ushauri unapotelewa si lazima ufuate,akipenda afate asipopenda atajijua mwenyewe,mchumia janga hulia na wa kwao punguza kidomo domo kaka/dada haya ni maoni yangu。
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.