Mbona mimi nipo mwanza lakini ni nimekosa soko. Mtu anakuja shambani anataka anunue kwa sh 800 kwa tikiti moja wakati ni makubwa kuanzia kilo 5 mpaka 12.
Nimesikia tangazo la mkopo wa jijenge wa nyumba. Wanasema unaweza kukopa hadi 500m na unaweza kurejesha mkopo mpa miaka 20. Kama kuna mtu mwenye uelewa naomba anisaidie.
Hii ishu ya vibali ni shida kweli. Kuna mtu ameomba kibali alkambia kitoka baada ya siku 21 za kazi. Zimeisha ameenda haijafanyiwa kazi. Kasubiri wiki mbili zimepita hola. Kaenda tena ameambiwa after 2 weeks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.