kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Habari wadau kwa wale walioko maeneo ya Mwanza hasa wanaopafahamu KISEKE B wilaya ya Ilemela kuna eneo lenye ukubwa wa ekeri 1 halijapimwa lakini linauzwa, bei inaanzia milioni 25 maelewano yapo kwa anayehitaji baada ya kuliona. Piga namba hizi 0783250791 /0757849188.
Ahsanteni
Ahsanteni