Kiba kumfananisha na diamond kwasasa hivi ni mkosa sana diamond yupo mbali sana bila hata ya tunzo za kili music, kaongea ukweli halisi sasa subirini huyo kiba muone kama hatamfikia management yake mbovu sio kama diamond ana management nzuri sana
Dunia nzima Tanzania peke take ndio kuna kitu kinaitwa withdrawal benefit
Kazi ya mifuko ni kuhifadhi fedha na kukupatia endapo unashinda maalumu,pia inapofikia mda wa kustaafu unapewa fedha zako zote sio kila ukiacha mkata unatoa pesa zile sio bank
Hakuna kitu kama hicho kuwasha computer maybe unambie walikuwa na karatasi wanacheat sio kuwasha
Ni kawaida kwa wanafunzi kucheat kwa kuingia na karatasi
Umetumwa una topic ya msingi rekebisha maneno yako ulete maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.