Nenda kituo cha puma pale sinza kijiweni ukifika utakuta pump zao hazijarudishwa ndani ili kuiresert manaining'iniza na usipoangalia vizuri utapimiwa mafuta ya elfu kumi kama ulitaka ya elfu ishirini nenda hadi sasa hivi wanafanya hicho kitu mabosi wao sidhani kama wanajua. Wanakera sanaa.
Mnaanza kampeni kiaina huyo jamaa mwenyewe kwanza hatumjui na sio kweli tumemchoka sugu ni nyie na propaganda zenu baada ya kuona anaziba njia zenu za ufisadi mnataka mtuwekee mtu wenu labda mje baada ya miaka 10 ijayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.