mbona nyie wanaume mlio wengi mnapenda kusachi vipochi (handbags) vya wake zenu wakati nyie hampendi kusachiwa na mimi niwaulize swali mnatafuta nini kwenye hivyo vipochi?????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.