Recent content by roney1

  1. R

    Mara yako ya kwanza kukutana kimwili ilikuwaje?

    nilibakwa na kaka mmoja aliyekuja kunitembelea geto kwangu sitaki kukumbuka hiyo siku.:embarrassed1::embarrassed1:
  2. R

    Mwenzenu nateseka,ni zaidi ya miaka 3 sasa napiga mabao(WETDREAM) zaidi ya 10 kwa wiki!

    nenda ukafanyiwe maombi itakuwa kuna mapepo yanakujia usiku ukiwa umelala, tafuta mtumishi akuombee ili kuvunja hizo roho.
  3. R

    Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

    umeona eeeehhh!!!!
  4. R

    Niulize chochote kuhusu mapenzi...

    duh ulisoma course gani vile?
  5. R

    Nishakuwa kipusa!

    nenda ukafanyiwe maobi ya toba na usirudie tena
  6. R

    Kwani nil lazima kusachi suruali ya Mumeo!?

    mbona nyie wanaume mlio wengi mnapenda kusachi vipochi (handbags) vya wake zenu wakati nyie hampendi kusachiwa na mimi niwaulize swali mnatafuta nini kwenye hivyo vipochi?????
  7. R

    Hapa kuna mapenz kweli?

    wewe utakuwa hukumpenda bali ulimtamani, upendo wa kweli hauwezi kufa kirahisi hvyo cha msingi ni amani ya Kristo iamue ndani yako
  8. R

    Nahitaji m'ke

    30-35yrs majimama sio? kwa nini unapenda waliokuzidi umri???
Back
Top Bottom