Kafanya ivyoo kuzisaidia kampuni za kimarekani kama apple....Microsoft computers...ambazo mauzo yake yangeshuka kutokan na mfumuko wa bei baada ya hizo tariffs
Msichokijua trump mda wote alikua step mbele kuliko wote inaitwa mchezo wa chess....trump aliwekea nchi zote tariff akijua mazara yake kiuchumi.....na kweli uchumi ukashuka watu wakapata hasara sana.... lakjn ukiangalia iyo hasara ilikua kimkakati...ghafla akatoa tariff zote ikabaki china...
Inategemea na upatikanaji wa material...je kama mim material nachukulia nchi kwangu from viwanda vyangu...nitakua sawa na yule aliyeamua kuimport?....alafu thamani inategemea pia na grade au quality ya materials utakazozitumia....shtuka bro....
Utumii akili bro...wew unadhani anayenga nyumba marekani na anayejenga nyumba ile ile tanzania, watatumia gharama sawa?....kuna inshu za upatikanaji wa materials....usafilishajii...miundombinu....bado tofauti wa kiuchumiii...yan unatak ufananishe hela ya kenya na tz kwa thamanii...jinga kabisa
Mnatak kufananisha 180kmph ya ist na ya land cruiser mko seriois kwelii[emoji23][emoji23]...50km/h ya sgr inaweza zaidi kua kama 180 ya ist..kwasababu speed ya treni ni uniform...gari inabadilika badilika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.