Hata Mussa alipomfata Farao na kutaka kuwato watu wake Utumwani alipingw sana na Farao hata akapigwa mapigo na Mungu hata alipowaachia hakuamini akawafuata nyuma. Kama sisi sio sauti ya Mungu basi anaye mungu wake anayemwamini yeye
Hii statement ni.kubwa kupitiliza ukiitafakari ni.kubwa sanah...
Clip ngapi zimeweka wazi na matokeo yake nin mpaka leo mtake hiyo clip tena...
Kumtaja tuuuh yatosha kuonesha kwamba anauhakika na anachokiongea...
CHADEMA Nayo imelala sanah sasa mtu kama huyo kwanin asiende kuhamia ccm waprovide ulinzi kwa viongozi wao
Alafu kuna boya utalisikia eti huyo kahaba ana nin...
Mibongo shida sana huyu dada anafanya mengi sana mazuri...
Ukitaka kujua we panda public transport alafu asubuh utaona watu wameingia insta wanachek huyu dada kasemaje..
She is the best
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.