Recent content by Rommy Ronny

  1. R

    Happy Birthday Mwifwa!

    Happy Bday Kamanda... Mapambano bado yanaendelea
  2. R

    Fr. Jordan: Kutoa maoni, kuandamana kwa amani si uhaini kisheria

    Mirandaoni ndio wapi na mie nimunehamie
  3. R

    Askofu Mkude: Hata Mussa alipomwambia Farao alionekana mchochezi, hivi mnafurahia watu kupotea na kufa?

    Hata Mussa alipomfata Farao na kutaka kuwato watu wake Utumwani alipingw sana na Farao hata akapigwa mapigo na Mungu hata alipowaachia hakuamini akawafuata nyuma. Kama sisi sio sauti ya Mungu basi anaye mungu wake anayemwamini yeye Hii statement ni.kubwa kupitiliza ukiitafakari ni.kubwa sanah...
  4. R

    Mwenyekiti CHADEMA Wilaya ya Tarime: Maisha Yangu yako hatarini

    Clip ngapi zimeweka wazi na matokeo yake nin mpaka leo mtake hiyo clip tena... Kumtaja tuuuh yatosha kuonesha kwamba anauhakika na anachokiongea... CHADEMA Nayo imelala sanah sasa mtu kama huyo kwanin asiende kuhamia ccm waprovide ulinzi kwa viongozi wao
  5. R

    Kutumia magari ya thamani kwenye harusi ni ujanja au ushamba?

    Daaaah always nasema u are so SMART mkuu ukicomment alys huwa yanifanya niwaze mtu wa aina gani..
  6. R

    Uzi wa kutupia picha za viatu vya kiume!

    We utakuwa mchaga aiseee.
  7. R

    Zoezi gani zuri kutengeneza shingo bila kwenda gym

    Hahahahahahhahahahaha... Hahahahahahhahahahaha.... Hahahahahahahahahahah.. Very Fun... Daaah sikutegemea kucheka hiv jion hii
  8. R

    Clouds 360: Hassan Ngoma asema baba yake aliyegundua Tanzanite alianza kuugua akisubiri kumuona RC Makonda

    Yaani alivyogundua Tanzanite alishindwa hata jihifadhia madonge kadhaa... Leo watu wangemtambua bila.nguvu.yoyote
  9. R

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    [emoji16][emoji16][emoji16]mkuu wataka usikie nin!? Anyway speaker wetu anarecover vizur kabisa.
  10. R

    Mnisamehe...

    [emoji16][emoji16][emoji16]
  11. R

    Mnisamehe...

    Nimelike huu uzi jamani MNISAMEHE
  12. R

    Hospitali Ocean Road yajibu madai ya Mange Kimambi,yakiri mlundikano wa wagonjwa na ubovu wa mashine

    Alafu kuna boya utalisikia eti huyo kahaba ana nin... Mibongo shida sana huyu dada anafanya mengi sana mazuri... Ukitaka kujua we panda public transport alafu asubuh utaona watu wameingia insta wanachek huyu dada kasemaje.. She is the best
  13. R

    Kwa wale mnaofurahia kuitwa "Bae"

    BAE ni abbreviation ya neno 'Before Anyone Else' Ukianza angalia maana ya kila neno kwa.nchi tofaut hiyo avatar yako utakuta Tusi nchi nyengine pia
  14. R

    Wakristo hamna budi kumshukuru Yuda Eskariot, bila yeye Ukiristo usingekuwepo.

    Umeelezea vizur sana mkuu ahsante umeondoa doubt yangu yote
Back
Top Bottom