Kuna mawakala wa CHADEMA niliwashuhudia wakihongwa na wakasaidia kuweka tiki kwa kura feki za CCM. Poor CHADEMA mawakala wanaoweka wananjaa ata wakipewa tu buku 10 wanasaliti chama
Ni mda mrefu sasa lilianza kidogo kidogo kama miaka 7 nyuma kwa kuumwa magoti ,akaambiwaga ni barid abisi ila mwaka juz ndo akaanza kuumwa upande mmja tu kuanzia kwenye mguu mpaka begani na wakat mengine anasema inapanda mpaka kichwan
Habari zenu wakuu, Dada yangu anasumbuliwa sana na maumivu makali sana ya mguu na mkono,wakati mwingine yanapelekea mguu au mkono kuwa na ganzi na mara nyingine kuvimba. Amejaribu kwenda hospital kadhaa ila anaonekana hana tatizo. Wakuu naombeni mnisaidie kama kuna hospital inayoweza msaidia au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.