Nikiwa nyumbani nashinda na Kanga moja, ila nikitoka lazima nipigilie nguo...Ya Mungu mengi, nikizimia njiani?
Mimi na vitu vya pwan wapi na wapi labda???
Ha Ha Labda Nini Sasa Hebu Ninong'oneze Sikioni Wasisikie Wengine
Joto babu!!!acha vitu vipumue
Mimi na vitu vya pwan wapi na wapi labda???
Hajajua kama ww mwenyeji wa wwp ndo maana😀
Myahudi mimi! Wataka nikujize ww au yeye?🙄
Mjuze yeye tatizo lake ni mbishi
Haaa wabishi waache ivo ivo
AlivyovionaVitu gani?
miss chagga Buno ndo nn
Aiseee sasa tufanyaje? Kanga ya india safi sana nyepesiiiiiii ukitoa jasho kidogo meshikana na ngozi raha sana. Ukute mtoto ana buno anapita sasa kavalia kama kata k siyo elimradi tu akitembea mambo yatikisike walahi utapenda. Utatamani idondoke alafu ukute kavalia likaptula la jinsi humo ndani limepauka ha ha ha utanza si angevaa chupi tu.BASI SAWA tu
Hata mie mwenyewe nikimuona kavaa "likaptula la jinzi" lazima nimtoe nyota zote....agghhh...mbona ntamshusha sana P.