Msaada: Maumivu makali ya mguu na mkono upande wa kushoto

rom10

Member
Jan 31, 2015
15
8
Habari zenu wakuu, Dada yangu anasumbuliwa sana na maumivu makali sana ya mguu na mkono,wakati mwingine yanapelekea mguu au mkono kuwa na ganzi na mara nyingine kuvimba. Amejaribu kwenda hospital kadhaa ila anaonekana hana tatizo. Wakuu naombeni mnisaidie kama kuna hospital inayoweza msaidia au tiba gan inaweza msaidia
 
Habari zenu wakuu, Dada yangu anasumbuliwa sana na maumivu makali sana ya mguu na mkono,wakati mwingine yanapelekea mguu au mkono kuwa na ganzi na mara nyingine kuvimba. Amejaribu kwenda hospital kadhaa ila anaonekana hana tatizo. Wakuu naombeni mnisaidie kama kuna hospital inayoweza msaidia au tiba gan inaweza msaidia
Hili tatizo limemsumbua sana mama yangu, alishaenda mpk bugando lkn vipimo havikuonesha ugonjwa wowote. Tulichoamua ni kuangalia upande wa pili wa tiba yaan kutafuta tiba za jadi. Kwa sasa ana nafuu kubwa sana hata anaweza kufanya na shughuli zake.
 
Hili tatizo limemsumbua sana mama yangu, alishaenda mpk bugando lkn vipimo havikuonesha ugonjwa wowote. Tulichoamua ni kuangalia upande wa pili wa tiba yaan kutafuta tiba za jadi. Kwa sasa ana nafuu kubwa sana hata anaweza kufanya na shughuli zake.
Tiba za jadi miti shamba au ?
 
Habari zenu wakuu, Dada yangu anasumbuliwa sana na maumivu makali sana ya mguu na mkono,wakati mwingine yanapelekea mguu au mkono kuwa na ganzi na mara nyingine kuvimba. Amejaribu kwenda hospital kadhaa ila anaonekana hana tatizo. Wakuu naombeni mnisaidie kama kuna hospital inayoweza msaidia au tiba gan inaweza msaidia
Ttizo hili ni la mda gani
 
Ttizo hili ni la mda gani
Ni mda mrefu sasa lilianza kidogo kidogo kama miaka 7 nyuma kwa kuumwa magoti ,akaambiwaga ni barid abisi ila mwaka juz ndo akaanza kuumwa upande mmja tu kuanzia kwenye mguu mpaka begani na wakat mengine anasema inapanda mpaka kichwan
 
Ni mda mrefu sasa lilianza kidogo kidogo kama miaka 7 nyuma kwa kuumwa magoti ,akaambiwaga ni barid abisi ila mwaka juz ndo akaanza kuumwa upande mmja tu kuanzia kwenye mguu mpaka begani na wakat mengine anasema inapanda mpaka kichwan
Mkuu mgonjwa anaendeleaje hili tatizo linanisumbua na mm
 
Back
Top Bottom