Nimefurahi sana Kwa ushauri wako mzuri my dear ni kweli kabisa unayoniambia hata mimi taa nyekundu imewaka kabisa nataka anieleze vizuri lakini yule mwanaume sio mjinga kabisa ameongea kwa uchungu sana kuelezea jinsi inavyomuuma mume wangu kuwa na mahusiano na mke wake . nimekuelewa sana na...
Wakati mwingine najibu kulingana na swali nililoulizwa sasa mtu anauliza kama haifanyi kazi unategemea nijibu nini niko serious na issue ni ukweli mtupu kwa nini ni nidanganye ili kiweje?
Habari wana Jf, Mume wangu anaishi nje ya nchi, leo nimepigiwa simu na rafiki wa mume wangu akilalamika kuwa mume wangu katembea na mke wake na kwa msisitizo ameniambia amewaconfront mume wangu na mke wake na wote wamesema kuwa walikuwa na mahusiano ila sasa wameacha. Ndugu zangu naomba ushauri...
Naona kama kuna mambo mawili hapo unasema u nasubiri maamuzi ambayo unaweza kufukuzwa kazi sasa mambo ya vetting tena yanatoka wapi? Kuna post ya uongozi unaisubiri au?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.