Mafao ya PSPF

Mafao ya PSPF

Posho City

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
648
Reaction score
418
Wadau naomba anayejua anijuze...ikiwa umefanya kazi serikalini kwa miaka sita na baadae ukaondolewa kwa sababu yoyote....Je pspf wanakupa mafao yako ulokwisha kusanya?

Mimi nilienda kusoma bila ruhusa...mwajiri kanifuta payroll....suala lipo utumishi makao makuu....sasa ikitokea utumishi wakaona nilikosea na wakaamua kunifukuza kazi...Je ni haki yangu kudai hayo mafao?
 
Ahsanteni maana juzi nilienda PSPF nikakuta kuna almost milioni nne....lolote laweza tokea..Nikiwekwa black list ya utumishi najua watanipa barua..

Sema utumishi nao vetting zao zinachukua muda mrefu...Mimi tangu July mwaka jana kila siku ukienda bado.
 
Ahsanteni maana juzi nilienda PSPF nikakuta kuna almost milioni nne....lolote laweza tokea..Nikiwekwa black list ya utumishi najua watanipa barua..

Sema utumishi nao vetting zao zinachukua muda mrefu...Mimi tangu July mwaka jana kila siku ukienda bado.

Naona kama kuna mambo mawili hapo unasema u nasubiri maamuzi ambayo unaweza kufukuzwa kazi sasa mambo ya vetting tena yanatoka wapi? Kuna post ya uongozi unaisubiri au?
 
Back
Top Bottom