Usjar mbwa na paka ni wanyama rafiki sana kwa binadam japo hawana uwezo wa kuongea nsi, mkuu paka ukimtrain kwa adabu hawezi kuiba mnyama pole na msafi kwa ujumla ila nimkali endapo ukimpandusha asira Mimi ninao huu ni mwaka wa nne nawafuga kwaajili ya panya waaribifu ndani
duh kumbe siko pekeyangu hata mimi ili wainitokea mala kadhaa kwenye mtian kipindi wakitaja dakika za mwisho kutupiga stop huku nimebanwa mkojo na hofu ya kumalizia ma swal sio sili bas wazungu uku chini walikua wana chomoka badala ya mkojo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.