nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,513
Wabongo bhana, kafuga paka mnamwita mwanga, so akifuga mbwa hope mtamwita mganga...
Hao ni NYAU au PAKA?
Paka hawana HIV hao paka ni dawa peke yake ukiwa nao.Hawana HIV hao paka?
Nitaufanyia kazi ushauri wako Mkuu asante sana.Tangaza wanaongeza nguvu za kiume, humalizi mwezi hata vitoto utaviuza kwa milioni
Nyau ni mlio/ sauti ya pakaTofauti iko wapi mkuu?
Kivipi mkuu?ukifuga paka,ukaexperince tabia yake,hutaacha
Usjar mbwa na paka ni wanyama rafiki sana kwa binadam japo hawana uwezo wa kuongea nsi, mkuu paka ukimtrain kwa adabu hawezi kuiba mnyama pole na msafi kwa ujumla ila nimkali endapo ukimpandusha asira Mimi ninao huu ni mwaka wa nne nawafuga kwaajili ya panya waaribifu ndaniNi kweli mkuu lakini mimi binafsi na hawa pets picha haziendi kabisa
Duh 😱Kilo moja ya nyama ya paka mweusi ni bei gani?