Recent content by Rolandi

  1. Rolandi

    Kaka yangu kamtia mimba mama yetu mdogo. Hili lipoje kwa Wanyakyusa?

    Mshapata mtu makini wa kutunza mji wenu. Nyie malizieni nyumba vizuri December ikifika mnaenda mnamkuta mwenyeji wenu Hayo mengine yanamuhusu kakako, si yako wewe wala nduguzako wengine. Halafu huyo mama sio ndugu yenu
  2. Rolandi

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Hakwenda sawa na Jews lakini sio dini yao. Hakuwahi kuikana Torati. Mambo ya uislam na ukristu yalikuja baadae wakati Yesu hayupo duniani
  3. Rolandi

    Yesu akirudi leo atasali wapi? Kwa Wayahudi, RC /Wasabato au Kwa Walokole? Au Mashahidi wa Yehova? Naomba majibu

    Yesu hakuwa mkristu, wala hakuanzisha kanisa. Alisali na Jews wenzake na akirudi ataenda huko "kama ilivyo desturi yake" Haya makanisa yameanzishwa baadae na kutumia jina lake kupata "mileage"
  4. Rolandi

    Mhudumu wa Afya aliyeonekana kwenye video akisafisha vyombo vya hospitali kwa njia isiyofaa asimamishwa kazi

    Sijaona kosa Lake labda kama kuna video nyingine. Kosa ni la mwajiri kutompatia vifaa husika.
  5. Rolandi

    Tuacheni unafiki, Le Mutuz alikuwa ni mtu wa ovyo na mfano mbovu kwa vijana

    Mleta post tupe link ya blog/social media yako tukasome busara zako na kuona picha zako ulizopiga kwenye ibada na sehemu zenye heshima. Tunataka tuige mfano wako. Kama Huna ni sawa tu, hata mimi sina. Ila sasa ulikua unatafuta nini kwenye media za mtu wa hovyo maana yaelekea unamwelewa sana...
  6. Rolandi

    Mazoezi hayapunguzi uzito, Madaktari acheni kusema uongo

    Uko sahihi sana uliyetoa post hii. Madaktari wengi wanajua hili ila kupunguza kula hakuna "maslahi". Kaa ukijua makampuni ya vyakula hasa venye wanga na sukari worldwide hawatàki ukweli ujulikane na wanatumia njia zone kuhakikisha tunaendelea kula. Siku hizi pesa iko mbele kwenye kila kitu
  7. Rolandi

    Miti gani inaweza kupunguza maji kwenye ardhi?

    Hivi mkaratusi unaweza kupanda karibu na nyumba au mizizi yake itaharibu nyumba?
  8. Rolandi

    Miti gani inaweza kupunguza maji kwenye ardhi?

    Tafuta eneo kavu ujenge, hapo lima. Mbona unataka kuharibu matumizi ya ardhi ndugu?
  9. Rolandi

    Naombeni Mnipe Sifa Za Koo Hizi (Ukoo) Za Kichaga na Sehemu wanapotokea Moshi

    Swali lako halina maana wala tija ila nitakufahamisha kitu. Uchagani unaweza kuta watu wawili wote wanaitwa kimaro lakini hawatoki ukoo mmoja wala hawatoki eneo moja. Sio mushi wote ni ndugu.
  10. Rolandi

    SoC01 Faida atakayopata kijana baada ya kuoa

    Kikubwa uwe umepatia kwenye kuchagua mwenza wako au hizo faida ulizozitaja utazisoma kwenye vitabu tu. Watu wengi walikua wana progress vizuri walipokua mabachela, baada ya kuoa dreams zao zikakoma siku ya harusi Ukipatia kuoa mbingu unaianzia hapa hapa duniani.
  11. Rolandi

    Ushawishi wa chanjo ya Covid na kauli ya wahenga "kibaya chajitembeza"

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani leo ndio tunawaogopa wazungu! Kila siku tunakunywa na kula vitu vyao. Kama wanataka kutudhuru hawana haja ya kusubiri korona.
  12. Rolandi

    Inasikitisha Naibu Waziri Marekani kukutana na Vyama vya Siasa Tanzania

    Wangemkatalia watu wangelalamika hamna demokrasia.
  13. Rolandi

    Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Hakuna aliyekulazimisha kutembea. Ji lock down mwenyewe na familia yako kama watakubali. Sisi wacha tuendelee na maisha yetu
  14. Rolandi

    Kagame hakuja msibani kumzika rais wetu, na alikaa miezi siku nyingi sana kabla hajatupa pole, Rais Samia unakwenda Rwanda kufanya nini?

    Umeandika kwa hasira ila ni kweli ulichoandika. Kwa watanzania wengi nafasi ya urais tunaichukulia poa sana. Tunafikiri Rais anatembea tembea tu kama mjumbe wa nyumba 10
  15. Rolandi

    TANZIA Mwenyekiti wa zamani wa TFF, Alhaj Said Hamad El Maamry afariki dunia akiwa ana umri wa miaka 86

    Haya tumekusikia. Ulikua unakimbilia wapi mpaka kuandika hivi? RIP
Back
Top Bottom