Kagame hakuja msibani kumzika rais wetu, na alikaa miezi siku nyingi sana kabla hajatupa pole, Rais Samia unakwenda Rwanda kufanya nini?

PK mshenzi kweli kweli Alimtapeli JAY PM. Pk alimshindwaga JK maana wote matapta yulee mshamba aliingia mkenge. ilee Hela tuma kwenye Namba hii stone likatuma.

Kwa ushamba ulee angekuwa anapumua mpka leo ungekuta katepelewa dodoma. Nchi ndani ya nchi.
 
Another Fool. Hivi ni nani alikuambia kuwa Rais Paul Kagame nae haijui 'System' ya Tanzania tena ndani nje kwani Yeye pamoja na aliyekuwa Raia wa Congo DR ( Hayati Laurent Desire Kabila ) Tanzania akijulikana kama Baba Simwale walishawahi kuwa sehemu yake Awamu za Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi?
...
naunga mkono hoja yako mimi binafsi nawajua askari jeshi wawili wa Rwanda (wote wana nyota mbili) ambao ni watanzania na mmoja wao now day yupo Russia anasomea masuala ya cyber security


pia kuna HR wa TANROAD mkoa fulani ni mnyarwanda pure na mke wake ni afisa uhusiano PCCB
 
PK mshenzi kweli kweli Alimtapeli JAY PM. Pk alimshindwaga JK maana wote matapta yulee mshamba aliingia mkenge. ilee Hela tuma kwenye Namba stone likatuma.

Kwa ushamba ulee angekuwa anapumua mpka leo ungekuta katepelewa dodoma. Nchi ndani ya nchi.
Kwani aliyeasisi nchi ya kichina kujengwa pale bagamaini ni nani? au hiyo siyo nchi ndani ya nchi.
 
Sure broo...hahahahah
IMG_20210803_112203_748.jpg
 
Ngoja nikwambie kitu usichokijua..there is no permanent enemy or friend in politics but common interest.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app

Probably this applied to our stance on the Corona Virus as well?

It would be useful to know what real happened between SSH and JPM with regard to this total shift of positions.
 
Mahusiano yetu na nchi nyingi akiwamo PK hayakuwa mazuri tena mwishoni mwa utawala wa awamu ya 5.

Utakumbuka nchi ya kwanza kuitembelea JPM baada ya kukwea madarakani ilikuwa Rwanda.

Hii imekaa je PK kutokuja kuhani msibani lakini sisi fasta tu tumefanya ziara kwake kwenda kujitambulisha?

Ina maana na pole yetu tumepewa huko huko?
Hii nchi haijulikani hata tunafanya nini ni hovyo kila jambo
 
Mahusiano ya kiuchumi, kibiashara na kidiplomasia ni muhimu zaidi kuliko bifu zisizo na kichwa wala miguu....
Rwanda ina nini hasa cha kujivunia ili kuiletea Tanzania uchumi. Nchi nzima ya Rwanda ambayo ukubwa wake unazidiwa na mkoa mmoja tu wa Tanzania.

Na haina rasilimali yoyote ya kujivunia. Otherwise ungekuwa muwazi tu kwamba kuna mbinu za kiutawala wa mabav wanaenda kujifunza.
 
naunga mkono hoja yako mimi binafsi nawajua askari jeshi wawili wa Rwanda (wote wana nyota mbili) ambao ni watanzania na mmoja wao now day yupo Russia anasomea masuala ya cyber security


pia kuna HR wa TANROAD mkoa fulani ni mnyarwanda pure na mke wake ni afisa uhusiano PCCB
Hii siyo hoja wengine tumesoma nao,tunawajua kuwa ni wanyarwanda, lakini sisi ni wazungu wa roho hatuna noma.
Ni mpaka tujisikie tunataka kuwapurge ndiyo tunawapurge
 
Mahusiano yetu na nchi nyingi akiwamo PK hayakuwa mazuri tena mwishoni mwa utawala wa awamu ya 5.

Utakumbuka nchi ya kwanza kuitembelea JPM baada ya kukwea madarakani ilikuwa Rwanda.

Hii imekaa je PK kutokuja kuhani msibani lakini sisi fasta tu tumefanya ziara kwake kwenda kujitambulisha?

Ina maana na pole yetu tumepewa huko huko?
Hahiitaji akili kubwa kuona kuwa amambo mengi anayoyafanya mama sasa ni kupingana na Mwendazake..ila hili la Rwanda naoana ameruka mkojo na kukanyaga Kinyesi...sujui kama ameshauriana na "boss" wake pale Msoga kwani wakati wa utawala wa Boss wake..hakuwa na mahusiano mazuri na Rwanda
 
Hahiitaji akili kubwa kuona kuwa amambo mengi anayoyafanya mama sasa ni kupingana na Mwendazake..ila hili la Rwanda naoana ameruka mkojo na kukanyaga Kinyesi...sujui kama ameshauriana na "boss" wake pale Msoga kwani wakati wa utawala wa Boss wake..hakuwa na mahusiano mazuri na Rwanda

Baada ya siku 100 sifa sifa zile SSH mabega yalimpanda.

Bila shaka akadhani hata kipindi cha JPM, actually mwendazake alipaswa kuwa makamu na yeye akawa ndiye munene mwenyewe.


Baada ya siku 100 yaonesha yuko wayward na anazidi kulikoroga.

Bila shaka sasa hivi haambiliki.
 
Ifike muda kama Bangi / Bange mnazovuta huwa zinawadhuru ( hasa Ubongo ) ni bora mziache tu.

Pia ifike muda kama unajijua kabisa umesahau Kunywa Dawa zako za Uwendawazimu kabla ya kuja ( Log In ) hapa JamiiForums basi uwe unazinywa Kwanza.

Na pia ni vyema kama unajijua umezaliwa na Kipaji cha Upumbavu na Masuala ya Kiitifaki ( hasa kwa Marais ) huyajui basi uwe unauliza uelimishwe.

Ni kweli Rais Kagame hakuja Msibani kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ila katika Siku ya Kuagwa Kitaifa pale Mkoani Dodoma aliwakilishwa na Waziri Mkuu wa Rwanda ( kama sijakosea ) pamoja na Balozi wao hapa Tanzania ambaye kwa taarifa yako tu ni kwamba Balozi huyu wa Rwanda alienda Mikoa yote ambayo Mwili ulipelekwa Kuagwa.

Siku ya Mazishi pale Chato Kiitifaki Rwanda na Rais Kagame aliwakilishwa vyema na Balozi ambaye alitoa Salamu mbele ya Hadhira kwa Niaba ya Wanyarwanda na Serikali yao.

Taratibu za Kiitifaki za Viongozi huwa hazijalishi kama Viongozi ni Marafiki ( Maswahiba ) au hapana bali hujumuisha mambo mengi na Kubwa ni la Usalama na 'Current Situation' ya nchi au hata Ratiba za Rais kwani Kifo kwa Binadamu huwa akina Ahadi ( Ratiba ) ila Ratiba za Kiutendaji za Marais huwa zinakiwa 'fixed' na hutenguliwa kwa dharula ya maana iliyo karibu na siyo ya mbali.

Na ulivyo 'very Foolish indeed' leo hii unahoji ni kwanimi Rais Kagame ambaye alikuwa ni 'Swahiba' wa Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuja Msibani halafu hujahoji wala Kushangaa ni kwanini Hayati Rais wa Afrika Kusini Nelson Madiba Mandela aliyekuwa 'Rafiki' wa karibu wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere nae hakuja Msibani Tanzania.

Mbona hata Rais wa Uganda Mzee Yoweri Kaguta Museveni nae ni Rafiki mkubwa wa Tanzania na hata kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli hakuja Msibani wala hujahoji ila 'Utahaira' wako umekutuma tu uhoji la Rais Paul Kagame wa Rwanda?

Hivi baadhi ya Watanzania Wapumbavu ( Mipopoma ) ni nani aliyewajazeni 'Utahaira' wenu huu na Kuwapandikizeni 'Chuki' dhidi ya Rwanda kama nchi, Wanyarwanda kama Raia na Kagame kama Rais?

Mlianza Kuzusha na Kuaminisha Watu kuwa Kikosi cha Ulinzi cha Rais wa Tanzania ( PSU ) kimechukua Walinzi kutoka nchini Rwanda kwa Kagame. Hivi kwa Mtu aliyeiva na anayejua vyema masuala mazima ya Kijasusi ( Intelligence ) hili linawezekana? Ndiyo kuna muda huwa nawadharau sana baadhi ya Watanzania ( ila siyo Wote ) kwakuwa hamna Akili na mmekalia tu Majungu, Umbea na Chuki.

Yaani kuna Mpumbavu Mwenzenu Mmoja ( sasa Mstaafu ) kwa Chuki zake tu binafsi na Uchapakazi na Ujasiri wa Rais Kagame kwa Kuiletea Maendeleo makubwa na ya haraka Rwanda Yeye alichokifanya ni Kueneza 'Propaganda' ya 'Chuki' kwa Wanyarwanda ( hasa Watutsi ) huku akiwahonga Wahariri wa Habari wa Tanzania waje na 'Agenda Setting Theory' ya Kuisema vibaya Rwanda ili Watanzania baadhi wasiojua 'Kufikiri' waamini.

Baadhi ya Watanzania kuzidi Kuichukia na Kuiandama Rwanda, Wanyarwanda na Rais Paul Kagame ni Kujitafutia tu Dhambi za lazima kwa Mwenyezi Mungu kwani Wanyarwanda kupitia Rais wao wameamua kusahau yaliyopita na Kuijenga vyema nchi yao, Kuchapa Kazi, Kujijenga Kimshikamano, Kupambana na Kudumisha Uzalendo wa Kweli huku wakiachana na Mambo ya Kipuuzi ambayo yangewachelewesha Kufikia Maendeleo makubwa ambayo leo hii wanayo japo waliuwana katika Machafuko ya Halaiki ( Genocide ) ya mwaka 1994 ukiachilia ile ya Kwanza ya 1959.

Dhambi ya Kuichukia Rwanda itawauwa.
Umeandika kwa hasira ila ni kweli ulichoandika. Kwa watanzania wengi nafasi ya urais tunaichukulia poa sana. Tunafikiri Rais anatembea tembea tu kama mjumbe wa nyumba 10
 
And shrewd propagandist
Kagame is so much cunning and wicked in his own ways. He has a very strange annoying character. Pure mercilessly capitalist. He is a self centered brutal autocratic dictator.
 
Back
Top Bottom